Dr. Migiro Raia Wa Jiji la Mwanza !!: Upuuzi kweli kweli

Kichuguu

Platinum Member
Oct 11, 2006
15,546
19,408
asharosemwanza.jpg


Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dk Asha Rose Migiro akiangalia hati ya heshima ya kuwa raia wa jiji la Mwanza aliyotunukiwa na Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Leonard Bihondo Jumatatu akiwa katika ziara ya siku mbili mkoani Mwanza.​

Huu nao ni upuuzi kweli kweli. Mama Migiro ni Raia wa Tanzania, hivyo automatically ni raia wa mji na kijiji chochote Tanzania. Huu mkwara wa Meya eti kumpa Dr Migiro hati ya heshima ya uraia wa Jiji la Mwanza ni upuuzi kweli kweli. After all, mme wake (Professor Migiro ) ni mwenyeji wa Ukerewe ambayo nayo iko mkoani Mwanza. Nadhani hatua hiyo inadhalilisha thamani ya utanzania wa wa Dr. Migiro
 
Nafikiri wamempa keys to the city or something honourable of that nature.....sio 'raia' wa mwanza kama mwandishi alivyoanisha!
 
Hii inanikumbusha Barack of Obama juzi kule Berlin alivyosema yeye ni "citizen of the world".....
 
Hii inanikumbusha Barack of Obama juzi kule Berlin alivyosema yeye ni "citizen of the world".....

BTW Mkuu....bado sijaona ubaya wowote na sentensi ya Obama....obviously ikiangaliwa in its entirety....

Some of the excerpts....

'I come to Berlin as so many of my countrymen have come before. Tonight, I speak to you not as a candidate for President, but as a citizen - a proud citizen of the United States, and a fellow citizen of the world.'
 
Back
Top Bottom