bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Katibu mkuu wa UN Ban Ki Moon amemtangaza Bw Jan Eliasson raia wa Sweden kuwa mrithi wa kiti cha naibu katibu mkuu wa UN nafasi ambayo aliishikilia Dr Asha-Rose Mtengeti Migiro kwa miaka takriban mitano..
Hata hivyo pamoja na uteuzi huo, Bw Eliasson atasubiri muda wa nyongeza aliopewa Dr Migiro hadi Jjuni 30 mwaka huu, na hivyo kushika wadhifa wake huu mpya kuanzia Julai 1 mwaka huu.
Karibu nyumbani Dr Migiro. Tunakuandalia ubunge wa kuteuliwa na uwaziri katika wizara moja nyeti mara utakaporejea. Then harakati zetu zileeeeeee zianze mara moja
Hata hivyo pamoja na uteuzi huo, Bw Eliasson atasubiri muda wa nyongeza aliopewa Dr Migiro hadi Jjuni 30 mwaka huu, na hivyo kushika wadhifa wake huu mpya kuanzia Julai 1 mwaka huu.
Karibu nyumbani Dr Migiro. Tunakuandalia ubunge wa kuteuliwa na uwaziri katika wizara moja nyeti mara utakaporejea. Then harakati zetu zileeeeeee zianze mara moja