nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Tumeskia tu mara ulifanya kazi ukaacha ukaanza kuanzisha viwanda na hukuanza na ipp moja kwa moja vipo ilivyoanzisha vikafeli kwanza, je ULIPATA WAPI MTAJI, wengi tunajua kuanzisha kiwanda sio kazi ndogo kwa siku hizi sasa sembuse vipindi vya ujamaa kwa nyerere ambapo pesa ilikua ngumu na mazingira si rafiki?
Hapo kuna swala kubwA umetuficha sijui kwa nn waliofanikiwa wengi hawapendi kusema walipopatia mitaji
Hapo kuna swala kubwA umetuficha sijui kwa nn waliofanikiwa wengi hawapendi kusema walipopatia mitaji