Dkt. Mathayo na Ana Kilango: Same "Wachina" wa Tanzania mpaka "VILAZA" wa Kilimanjaro

With due respect kwa mtoa hoja. I am of the view this is Misconception of the term Member of Parliament. Haieleweki Mbunge kubebeshwa lawama kwa maendeleo duni ya wilaya.mbunge siyo kiongozi na hajawahi kuwa KIONGOZI Lawama hizo zingeelekezwa kwanza kwa District Executive Director au District Commissioner.hawa ndiyo viongozi na siyo mbunge yeye ni msemaji wao bungeni . Ndiyo ana role yake ila hapo ni sawa na kumlaumu Nyanda golikipa kwa kutofunga magoli wakati mastriker maforward wapo. Nadhani watanzania tunahitaji katiba itakayotupa mamlaka ya kuchagua viongozi wetu kama magavana au maDC na siyo huu upotoshwaji wa sasa wa kuwageuza wawakilishi na watunga sheria kuwa viongozi na watawala wkt siyo na hawana mamlaka hayo.
 
HALAFU YULE MAMA SIDHANI KAMA ANAWEZA LETA MABADILIKO SAME,NAHISI UWEZO WAKE NI MDOGO SANA:lying::lying::lying::lying:
 
kuna mwenye kuweza kuyapinga haya niliyoyasema hapa? kila mmoja wenu sasa atakuwa amemjua vizuri anne malecela.
 
kuna mwenye kuweza kuyapinga haya niliyoyasema hapa? kila mmoja wenu sasa atakuwa amemjua vizuri anne malecela.
Kwa kuwa wananchi wenyewe walimchagua baada ya kupewa elfu mbili mbili, tisheti na kanga, acha kwanza wajifunze!
Yule mama mumuonee huruma ana mambo mengi jamani, auze nguo, auguze mumewe, alalamike bado mnataka kumpa na mzigo wa kuendeledha thame?
Subirini aingie kwenye tume sijui kamati ya katiba akipata hela huko atakuja, hamkuona alivyojitahidi kulia kwenye mswada?
 
Chadema movement for change karibuni sana vuathu[same & mwanga]!!! Mungu awazidishie!!
 
Kwakweli dr Matayo sijui doctorate yake alihonga au! Kwasababu yeye kama mbunge hana mpango mkakati wowote anachojua yeye nikuwa rubuni wananchi na mahindi ya msaada. Ila safari hi lazma ile kwake MV4CHANGE TUTAZUNGUKA TARAEfa, kata, vijiji, mitaa na vichochoro vyote. Matayo huna chako same
hali ya maendeleo katika wilaya ya Same imedorora tangu Dr.Mathayo na Anna Kilango wachaguliwe kuwa wabunge wa same magharibi na same mashariki. hali ya ELIMU ni mbaya sana. wilaya ya same imeshika mkia katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba na ule wa kidato cha nne. katika suala la KILIMO ule mradi maarufu wa kilimo cha umwagiliaji Ndungu una hali mbaya sana. kuna maradhi ya mpunga yameingia na wakulima hawana msaada wowote toka kwa mbunge wao Anna Kilango. milimani upande wa Dr.Mathayo ukataji MITI na uharibifu wa MISITU ambayo ni vyanzo vya maji umezidi kuongeza. BARABARA ya mkomazi-bendera-ndungu-gonja-kisiwani-same bado ni kero kubwa kwa wananchi.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahi kuisifu wilaya yetu na kutuita "Wachina" wa Tanzania. nina hakika akifufuka leo na kushuhudia uongozi mbovu wa Dr.Mathayo na Anna Kilango, akaona na matokeo ya mitihani ya watoto wetu atageuza kauli yake na kutuita "VILAZA" WA KILIMANJARO.
 
With due respect kwa mtoa hoja. I am of the view this is Misconception of the term Member of Parliament. Haieleweki Mbunge kubebeshwa lawama kwa maendeleo duni ya wilaya.mbunge siyo kiongozi na hajawahi kuwa KIONGOZI Lawama hizo zingeelekezwa kwanza kwa District Executive Director au District Commissioner.hawa ndiyo viongozi na siyo mbunge yeye ni msemaji wao bungeni . Ndiyo ana role yake ila hapo ni sawa na kumlaumu Nyanda golikipa kwa kutofunga magoli wakati mastriker maforward wapo. Nadhani watanzania tunahitaji katiba itakayotupa mamlaka ya kuchagua viongozi wetu kama magavana au maDC na siyo huu upotoshwaji wa sasa wa kuwageuza wawakilishi na watunga sheria kuwa viongozi na watawala wkt siyo na hawana mamlaka hayo.

Kiongozi yukoje? Anapogombea bnasema nn? Acha kuwachanganya watu na tafsiri zisizo na msaada ktk mazingira ya maumivu. Pamoja na hao ma-DC, wabunge wanatangulia kwani wao ni wachaguliwa kama ulivyopendekeza!
 
nilipoanzisha uzi huu kuna walionirushia madongo kwamba nawaonea wabunge wetu Mama Malecela na Dr.Mathayo. wabunge hawa wamekaa miaka 10, kazi na mafanikio yao yanajulikana. huu ni mwaka wa kuwasaili kama wanafaa kupewa miaka mingine mitano, au wana-same tuachane nao. Vipi kuhusu ahadi za wagombea Uraisi, je zimetekelezwa?

Mfumwa, Ogah, Dingswayo, MTENGETI, Fundi Mchundo, Saint Ivuga
 
Last edited by a moderator:
Kata za Jimbo la Same Magharibi ni hizi hapa:
1.Bangalala
2.Chome.
3.Gavao Saweni
4.Hedaru
5.Kisiwani
6.Kisima
7.Makanya
8.Mabilioni
9.Mshewa
10.Mhezi
11.Msindo
12.Mwembe
13.Same Mjini
14.Ruvu
15.Njoro
16.Suji
17.Stesheni
18.Tae
19.Vudee
20.Vumari.
 
Kata za Jimbo la Same Mashariki.
1.Bombo
2.Bendera
3.Bwambo
4.Kihurio
5.Kirangare
6.Kalemawe
7.Lugulu
8.Mtii
9.Maore
10.Myamba
11.Mpinji
12.Vuje
13.Ndungu
14.Vunta.
 
johnthebaptist , tindo, luangalila, Mwifwa, Mpuretamu,
nimeona mnamjadili Mh.David Mathayo na msaada wake wa magari ya wagonjwa jimboni Same Magharibi. mkitaka kuijadili same magharibi na michango ya wabunge wetu nawakaribisha katika uzi huu. pia nawakumbusha kwamba wakati wa kampeni Raisi Magufuli alishtuka kusikia kwamba ktk zahanati ya kata ya Hedaru wanaume na wanawake wanalala wodi moja. Wilaya ya Same haina hali nzuri hata kidogo.
 
johnthebaptist , tindo, luangalila, Mwifwa, Mpuretamu,
nimeona mnamjadili Mh.David Mathayo na msaada wake wa magari ya wagonjwa jimboni Same Magharibi. mkitaka kuijadili same magharibi na michango ya wabunge wetu nawakaribisha katika uzi huu. pia nawakumbusha kwamba wakati wa kampeni Raisi Magufuli alishtuka kusikia kwamba ktk zahanati ya kata ya Hedaru wanaume na wanawake wanalala wodi moja. Wilaya ya Same haina hali nzuri hata kidogo.
Hii wilaya imetelekezwa..wananchi wanapambana ila wanakosa back up ya serikali (kwa maoni yangu)..barabara mbovu za milimani..mazao ya kilimo yanakosa masoko ya uhakika..bas tu
 
Hii wilaya imetelekezwa..wananchi wanapambana ila wanakosa back up ya serikali (kwa maoni yangu)..barabara mbovu za milimani..mazao ya kilimo yanakosa masoko ya uhakika..bas tu
wanasame tunapaswa kujizatiti katika suala la elimu. wilaya yetu imekuwa ikifanya vibaya katika mitihani ya kitaifa ukilinganisha na wilaya nyingine za mkoa wa kilimanjaro.
 
D
wanasame tunapaswa kujizatiti katika suala la elimu. wilaya yetu imekuwa ikifanya vibaya katika mitihani ya kitaifa ukilinganisha na wilaya nyingine za mkoa wa kilimanjaro.
Duh..kumbe matatizo ni mengi huko, na watz wakati mwingine muwe msiwalaumu sana wabunge kwenye kuleta maendeleo, manake kazi ya kuhimiza/ kuchagiza serikali na wananchi kuleta maendeleo kwenye eneo lake, na sio lazima yeye ndo atoe pesa yake ili kuleta maendeleo jimboni mwake. Jukumu kubwa ni la serikali na ikikataa kumsikiliza, sasa yeye si kulaumu..
 
Back
Top Bottom