WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,415
- 1,379
Akiwa anahojiwa kwenye segment ya "Kikaangoni ya EATV,Dr Mashinji katibu wa Chadema,amesema kwa upande wa CCM anamkubali sana jaji werema.
Pia amesema Chadema inawanachama wanaokaribia milioni 4 (maana yake hawajafika bado),kwa taarifa hii inamaanisha 10% ya Watanzania ni wanachama wa Chadema.
Je,CUF nayo inawanachama wangapi? ukijumlisha NCCR MAGEUZI na NLD? Je,huu ni mtaji mzuri kweli kwa upinzani kuitoa CCM yenye wanchama hai zaidi ya milioni 8? .
Wito wangu Dr Mashinji jitahidi uongeze wanachama,fanya operation za maana km za Dr Slaa,unaweza angalau vuta wanachama japo inaweza ikawa kiduchu.
Pia amesema Chadema inawanachama wanaokaribia milioni 4 (maana yake hawajafika bado),kwa taarifa hii inamaanisha 10% ya Watanzania ni wanachama wa Chadema.
Je,CUF nayo inawanachama wangapi? ukijumlisha NCCR MAGEUZI na NLD? Je,huu ni mtaji mzuri kweli kwa upinzani kuitoa CCM yenye wanchama hai zaidi ya milioni 8? .
Wito wangu Dr Mashinji jitahidi uongeze wanachama,fanya operation za maana km za Dr Slaa,unaweza angalau vuta wanachama japo inaweza ikawa kiduchu.