number41
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,048
- 1,461
Ahahaha we una tofauti na yule dogo calisah wa wema eti anajifanya amjui idris sultan wakati anajulikana karib africa nzima na ye umaarufu wake umeongezeka kisa wema na we ndo umetoa kioja iko ivi kwel we uijui m4c au chadema kwel wakat uliny'ata meno juzi tu kwenye kupora urais au ndo na we we mwanachama wa ccm toka dodoma pale milembeNdio nani huyo au wa Chama kipya? Hasikiki na hafahamiki na sijui kama anafahamu majukumu yake!!