- Thread starter
- #41
Ki ukweli Mashinji anafanya kazi, na mbinu anayotumia ni muafaka ktk mazingira ya sasa.Yaani anajenga chama kimya kimya na kwa vitendo zaidi.Hii ni nzuri kwani ukiongea sana maadui wanajua mbinu zako hivyo wanaweza kukukwamisha.Mafanikio yake mengine ni ule mkakati wake wa kujenga ofisi kila kanda na kukarabati makao makuu
kuna watu wamezoea kuwa ukiona kelele nyingi na kazi ni nyingi kumbe ni kinyume chake , unaweza ukapiga sana kelele kumbe ni mkakati wa kuficha madhaifu yako......