Mimi nilidhani Mengi ni mfadhili tu. Waulize wakuu katika wizara ya afya ambao wameshupalia mipango ya kuwapeleka wagonjwa India.Samahani mkuu,hivi safari za India zinasimamiwa na kina nani? Naona kama Mengi huwa pia anahusika au nae ni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilidhani Mengi ni mfadhili tu. Waulize wakuu katika wizara ya afya ambao wameshupalia mipango ya kuwapeleka wagonjwa India.Samahani mkuu,hivi safari za India zinasimamiwa na kina nani? Naona kama Mengi huwa pia anahusika au nae ni...
Weak got weak inst...kuna wanafiki wakienda nje ooh diaspora mrudi kusaidia maendeleo ya nchi. Huyu Dr alikuwa Texas anapiga kazi vizuri tu...maskini angalia jinsi wanavyomvuruga?
kuna siku mimi nilisema dr. Dau ni hafai kuwa kiongozi,jf mkanishambulia sana lakini inshalaah sakata lake na dr. Masau linaendelea na mtagundua mengi. Mtanzania wa leo mwenzako akikuuma sikio tafakari kwanza na kisha tafiti halafu malizia. Mimi nimefanya kwenye mashirikia matatu ambayo hayapeleki michango ya nssf na kama yanapeleka ni pungufu na mpaka wengine wanazitumia kwa biashara kama pale sabasaba grounds. Dr. Dau ameifilisi nssf na anaendelea kuifilisi wakishirikiana na manji. Soon tu anauza zile ghorofa za pale tabata ilihali ananunua viwanja sehemu nyingine ambayo sio hot cake kama pale........gues nani atanunua.....u knw him
NSSF bwana, mbona kule Habari Corporation kuna watu kibao wanadai NSSF zao za miaka karibu kumi zinazozidi milioni 80 na hakuna aliyefikishwa mahakamani? Au ndi yale yale ya KAgoda?
Kagoda +-=EPA - Jeetu PAtel and others - Mramba na Yona???