Dr. Magufuli yuko sahihi na serikali yake, tubadilike

Tatizo hamjui hata maana ya system, kubadili system sio chadema wachukue dola, Jpm anapobadili wakurugemzi, ndo system hiyo inabadilishwa!!
Unabadilishaje system wakati wewe mwenyewe uko ndani ya system hiyohiyo?mwisho utajibadilisha hata wewe mwenyewe.mh anacho kifanya ni kuwakomoa watangulizi wake kwa kuwaondoa watu wao waliowaacha ndani ya system.
 
Ni bora uambiwe ujitambue kuliko kupewa ahadi za uongo.
U.A.E palitokea mafuliko makubwa magari mengi ya raia na wale ambao sio raia yalihalibika mengine kupotea.
Pamoja na utajili wake hakuna mtu aliyelipwa gari,au kutengenezewa nyumba .bali selikali yao ilitengeneza miundo mbinu mipya kudhibiti hali hiyo.
Kwani hiyo serikali ya U.A.E ilitembeza bakuli kwa ajili ya kuwasaidia wahanga kisha ikawatosa?

Au walitumia internal funds kuboresha miundo mbinu yao iliyoharibika na wananchi hawakuwa na vinyongo kwa sababu serikali haikuomba msaada kwa ajili yao kisha iwatose.

Ila kinachotuuma hapa nyumbani ni kuwa nchi rafiki zimewasaidia wahanga then mnufaika anakuwa mmoja tu ambaye ndiye aliyezipokea laiti kama angegawana hata kidogo na hao wenzie wala isingeleta makelele.

Maana mwanzoni kabisa walianza kufanya tathimini ya hasara na nyumba zilizobomoka tukajua hizo hela za michango zitaenda kuwasaidia wote waliofikwa na madhara ya lile tetemeko.
 
Kwani hiyo serikali ya U.A.E ilitembeza bakuli kwa ajili ya kuwasaidia wahanga kisha ikawatosa?

Au walitumia internal funds kuboresha miundo mbinu yao iliyoharibika na wananchi hawakuwa na vinyongo kwa sababu serikali haikuomba msaada kwa ajili yao kisha iwatose.

Ila kinachotuuma hapa nyumbani ni kuwa nchi rafiki zimewasaidia wahanga then mnufaika anakuwa mmoja tu ambaye ndiye aliyezipokea laiti kama angegawana hata kidogo na hao wenzie wala isingeleta makelele.

Maana mwanzoni kabisa walianza kufanya tathimini ya hasara na nyumba zilizobomoka tukajua hizo hela za michango zitaenda kuwasaidia wote waliofikwa na madhara ya lile tetemeko.
Internal funds ?
FB_IMG_1483440893156.jpg

Ulijuaje kama haikuomba msaada?
Usiropoke tu ,tulichangishwa kwa kila kitu utakachonunua, hadi kwenye mtandao wao wa Simu waliongeza tarif.
 
mbona huo ukweli hausemwi wakati wa kampain.
siku mkipoteza madaraka mtajuta kilio cha kusaga meno. mnatuona sisi wananchi mafala enhe kwa kuwa mmeishapata. timepigwa na tetemeko. ukafuatia ukame. wakati tuhangaika kujenga nyumba tunaaambiwa tukalime hakuna chakula cha msaada sisi tutakuwa wageni wa nani nchi hij? ee mungu twende wapi Sie??
Kwani haya majanga kwa kuwa ni kwenu ndio tusiheme.
Wangapi walikumbwa na ukame ,na hawakulimiwa Mashamba.
 
Wasalaam,

Juzi hotuba ya Mh.Rais kuna baadhi ya watu wanaiponda, mimi nashangaaa sana hivi watanzania tukoje? Nchi hii jamani tulifikia pabaya sana kwa serikali kuendeshwa kwa ghiliba, uongo, udanganyifu, unafiki, na kupakaziana bila kuwa wakweli, tukaomba tumpate Rais atakae kuwa mkweli, asiyeogopa lawama za ndugu, marafiki, na wananchi ili tusonge na kutoka tulipo.

Juzi Mh.Rais akiwa Kagera amewaambia wanakagera, waanga wa tetemeko na wananchi kwa ujumla ukweli uliyomchungu na usiopingika kuwa serikali haiko kwa ajili ya mtu mmoja mmoja bali kwa maslahi ya jumla ya wananchi wote.

Sisi watanzania tulikuwa tumezoea sana maisha malaini sana, ya msaada, tegemezi na kulialia na kununa, mfn. mtu akiwa mfanyakazi anakuwa na tegemezi wengi sana mjini na kijijini wote wanataka salary yake ika wengine sasa hawafanyi kazi kisa kaka,dada,mjomba n.k yupo bandari, tra,tanesco n.k kila mtu sasa afanye kazi na siyo kumtegemea mtu au mambo ya kona kona ili usawa uwepo na nchi isongeee. Nchi inaendelea kwa kuwa na producers wengi, sisi tuna production man-force kubwa ila wategeaje na wazembe.

Ifike wakati sasa ukweli usemwe hata kama ni chungu na ina kera kiasi gani. Awamu iliyopita watu walipenda kusikia uongo na maneno ya kuremba na kubembelezwa.
Italian Prime Minister Promises to Rebuild After Powerful Quake
by Claudio Lavanga, Tim Stelloh and Alastair Jamieson




x_lon_quakeaerials_161030.nbcnews-ux-1240-700.jpg



ROME — Italian Prime Minister Matteo Renzi promised Sunday to rebuild after the most powerful earthquake to strike the country in 36 years toppled ancient buildings and left thousands of people seeking assistance and preparing for aftershocks.

Some injuries were reported, but no deaths had been linked to the 6.6-magnitude quake, which struck northeast of Rome at 7:40 a.m. (2:40 a.m. ET).

"We will rebuild everything — the houses, the churches, the shops," Renzi said at a news conference Sunday, according to The Associated Press. "We are dealing [with] marvelous territories, territories of beauty."

The jolt rattled a country still recovering from a pair of quakes Wednesday and from August's temblor that left almost 300 dead. Seismologists in Italy and Britain told the AP that more could be on the way.

italy__173883.nbcnews-ux-1240-700.jpg



"We cannot exclude the possibility of larger magnitude aftershocks," Margarita Segou of the British Geological Survey said, citing a series of quakes in Japan earlier this year.

On Sunday morning, nuns rushed out of their church in the central town of Norcia as the clock tower appeared about to crumble In Rieti, hospital patients fled into the street and and huddled outside under blankets.


A collapsed building in Norcia pictured on Italian television channel Sky Tg24. AFP - Getty Images
"It's as if the whole city fell down," Norcia city assessor Giuseppina Perla told the news agency ANSA. The city's ancient walls suffered damage, as did another famous Norcia church, St. Mary Argentea, known for its 15th-century frescoes.

The mayor of Ussita said 90 percent of houses in the town had been destroyed, La Repubblica reported.

Many residents in affected areas still were sleeping in cars or had been evacuated to shelters or hotels in other areas following last week's jolts, leaving the most quake-prone historic centers largely empty.

Still, nearly 8,000 people from the region had sought help from the civilian protection agency by Sunday night, the AP reported, and 3,000 more were expected to ask for assistance overnight.

In Rome, cracks appeared and bits of the ceiling fell in the Basilica San Paolo, a historic church and major tourist draw, ANSA reported.

"It is since 1980 that we have had to deal with an earthquake of this magnitude," said Fabrizio Curcio, head of the civil protection agency.

Curcio was referring to a 6.9-magnitude quake in a different region that includes Naples, which killed 3,000 people and caused extensive damage in November 1980.



 
Internal funds ?View attachment 453717
Ulijuaje kama haikuomba msaada?
Usiropoke tu ,tulichangishwa kwa kila kitu utakachonunua, hadi kwenye mtandao wao wa Simu waliongeza tarif.
Issue ni je waliwatangazia kuwa hizo hela ni kwa ajili ya wanachi waliopata hayo majanga au walisem kwa ajili ya kurekebisha miundo mbinu ya nchi.

Kinachotuuma hapa ni kuwa walitudanganya mwanzo wakati wanaomba misaada kwa kusema itawasaidia wananchi walioathirika.
 
Wasalaam,

Juzi hotuba ya Mh.Rais kuna baadhi ya watu wanaiponda, mimi nashangaaa sana hivi watanzania tukoje? Nchi hii jamani tulifikia pabaya sana kwa serikali kuendeshwa kwa ghiliba, uongo, udanganyifu, unafiki, na kupakaziana bila kuwa wakweli, tukaomba tumpate Rais atakae kuwa mkweli, asiyeogopa lawama za ndugu, marafiki, na wananchi ili tusonge na kutoka tulipo.

Juzi Mh.Rais akiwa Kagera amewaambia wanakagera, waanga wa tetemeko na wananchi kwa ujumla ukweli uliyomchungu na usiopingika kuwa serikali haiko kwa ajili ya mtu mmoja mmoja bali kwa maslahi ya jumla ya wananchi wote.

Sisi watanzania tulikuwa tumezoea sana maisha malaini sana, ya msaada, tegemezi na kulialia na kununa, mfn. mtu akiwa mfanyakazi anakuwa na tegemezi wengi sana mjini na kijijini wote wanataka salary yake ika wengine sasa hawafanyi kazi kisa kaka,dada,mjomba n.k yupo bandari, tra,tanesco n.k kila mtu sasa afanye kazi na siyo kumtegemea mtu au mambo ya kona kona ili usawa uwepo na nchi isongeee. Nchi inaendelea kwa kuwa na producers wengi, sisi tuna production man-force kubwa ila wategeaje na wazembe.

Ifike wakati sasa ukweli usemwe hata kama ni chungu na ina kera kiasi gani. Awamu iliyopita watu walipenda kusikia uongo na maneno ya kuremba na kubembelezwa.
Unajua unapokuwa mjinga si lazima uonyeshe ujinga wako hadharani Kama unavyofanya wewe.
Magufuli hateseki Kwa ugumu wa maisha Kama wananchi, anakula anachotaka, analala pazuri, ana uhakika wa maisha ndo maana neno lolote likimjia yeye huropoka tu bila kufikiria hata kidogo.
Kama serikali haina hela wala haiwezi kuwasaidia wananchi wenye shida yeye anaongoza Kwa faida ya nani na ili iweje?
Na nyie washabiki wake mpo tu Kama mazombi kazi ni kushangilia tu kila jambo hata Kama halina maana, mna ujinga wa kiwango cha juu Sana.
 
Issue ni je waliwatangazia kuwa hizo hela ni kwa ajili ya wanachi waliopata hayo majanga au walisem kwa ajili ya kurekebisha miundo mbinu ya nchi.

Kinachotuuma hapa ni kuwa walitudanganya mwanzo wakati wanaomba misaada kwa kusema itawasaidia wananchi walioathirika.
Walitangaza hadi sms tulitumiwa, ukiingia kwenye mall unakuta machupa makubwa yapo kwa ajili ya wale wanaochangia Moja kwa Moja yapo kama kibubu.
 
Nakuunga mkono mtoa hoja! Hii tabia ya kulialia inayolelewa na ufipa ni hatari sana! Wanataka kila kitu serikali ifanye, serikali ya vile mwisho wake ilikuwa ya Ghadafi...
Watu waambiwe ukweli wazoee! Mungu amkimjalia miaka kumi huyu jamaa watanzania karibu wote watakuwa wameshazoea kuishi kwa kuambiwa ukweli na ukweli utawaokoa.
 
Bila kuwa mnafiki kuhusu hili la Kagera JPM kateleza, kwa kiongozi uliyechaguliwa na wananchi kuonyesha kuwapuuza kwa maneno na vitendo si kitu ambacho mtu anayefikiri sawasawa anaweza kufurahia. Mwitikio wa Raisi kwenye jambo hili haujajenga zaidi ya kubomoa.
 
Hao ufipa wasipinge uhalisia aisee! Mtu ajifunze kujikwamua mwenyewe ndo maana wazungu hawana tegemezi.
OMG watu wanapata out of job allowance (unemployment benefit), kwenye mdororo wa uchumi ulisikia Obama alivyo mwaga fedha kuokoa mashirika, european farmers wanakula ruzuku kama hawana akili nzuri.
 
Italian Prime Minister Promises to Rebuild After Powerful Quake
by Claudio Lavanga, Tim Stelloh and Alastair Jamieson




x_lon_quakeaerials_161030.nbcnews-ux-1240-700.jpg



ROME — Italian Prime Minister Matteo Renzi promised Sunday to rebuild after the most powerful earthquake to strike the country in 36 years toppled ancient buildings and left thousands of people seeking assistance and preparing for aftershocks.

Some injuries were reported, but no deaths had been linked to the 6.6-magnitude quake, which struck northeast of Rome at 7:40 a.m. (2:40 a.m. ET).

"We will rebuild everything — the houses, the churches, the shops," Renzi said at a news conference Sunday, according to The Associated Press. "We are dealing [with] marvelous territories, territories of beauty."

The jolt rattled a country still recovering from a pair of quakes Wednesday and from August's temblor that left almost 300 dead. Seismologists in Italy and Britain told the AP that more could be on the way.

italy__173883.nbcnews-ux-1240-700.jpg



"We cannot exclude the possibility of larger magnitude aftershocks," Margarita Segou of the British Geological Survey said, citing a series of quakes in Japan earlier this year.

On Sunday morning, nuns rushed out of their church in the central town of Norcia as the clock tower appeared about to crumble In Rieti, hospital patients fled into the street and and huddled outside under blankets.


A collapsed building in Norcia pictured on Italian television channel Sky Tg24. AFP - Getty Images
"It's as if the whole city fell down," Norcia city assessor Giuseppina Perla told the news agency ANSA. The city's ancient walls suffered damage, as did another famous Norcia church, St. Mary Argentea, known for its 15th-century frescoes.

The mayor of Ussita said 90 percent of houses in the town had been destroyed, La Repubblica reported.

Many residents in affected areas still were sleeping in cars or had been evacuated to shelters or hotels in other areas following last week's jolts, leaving the most quake-prone historic centers largely empty.

Still, nearly 8,000 people from the region had sought help from the civilian protection agency by Sunday night, the AP reported, and 3,000 more were expected to ask for assistance overnight.

In Rome, cracks appeared and bits of the ceiling fell in the Basilica San Paolo, a historic church and major tourist draw, ANSA reported.

"It is since 1980 that we have had to deal with an earthquake of this magnitude," said Fabrizio Curcio, head of the civil protection agency.

Curcio was referring to a 6.9-magnitude quake in a different region that includes Naples, which killed 3,000 people and caused extensive damage in November 1980.



Kaka inshu ya tetemeko 1980: Tushukuru kuambiwa ukweli jamani.
20170103_152611.jpg
20170103_152709.jpg
 
Sawa Mimi nitafurahia kama 2019 mpaka na 2020 pia Ukweli uendelezwe kusemwa hata kama ni mchungu
 
Issue ni je waliwatangazia kuwa hizo hela ni kwa ajili ya wanachi waliopata hayo majanga au walisem kwa ajili ya kurekebisha miundo mbinu ya nchi.

Kinachotuuma hapa ni kuwa walitudanganya mwanzo wakati wanaomba misaada kwa kusema itawasaidia wananchi walioathirika.
Mnisaidie kwanza hapa

Nchi ni nini? Na ni kwa ajili ya akina nani??

Wanainchi ni watu gani? Na ni kwa ajili ya nini??
 
Issue ni je waliwatangazia kuwa hizo hela ni kwa ajili ya wanachi waliopata hayo majanga au walisem kwa ajili ya kurekebisha miundo mbinu ya nchi.

Kinachotuuma hapa ni kuwa walitudanganya mwanzo wakati wanaomba misaada kwa kusema itawasaidia wananchi walioathirika.
Chukulia unachangisha mchango una ndugu yako yupo nyumbani anaumwa .
Je utachangisha pesa ya usafili?
Pesa ya kumuona daktari?
Pesa ya vipimo?
Pesa ya chakula cha mgonjwa?
Pesa ya matibabu kwa mgonjwa.?
Embu fafanua
Ungeuita huo mchango kwa ajili ya nini?

Mimi ningesema mchango kwa ajili ya mgonjwa.
Hata kama pesa niliyoipata nikaitumia yote ktk usafili wa kumpeleka mgonjwa hospitali ,pesa hapo imetumika kwa ajili yake
 
Back
Top Bottom