Kwa haya yaliyotokea DUMILA, daraja kuzombwa na maji, na barabara kuharibiwa vibaya, Dr. Magufuli wajibika kisiasa kama Mzee Kaghasheki, yeye ndie alihusika na usimamiaji wa kandarasi ya ujenzi wa daraja hili! Ni dhahiri limejengwa chini ya kiwango, ujenzi wake unawagharimu tena watanzania!
Mvua kidogo tu izombe daraja, haiwezekani, jiuzulu haraka!
Mvua kidogo tu izombe daraja, haiwezekani, jiuzulu haraka!