Dr. Magufuli songa mbele, upande wako tuko wengi zaidi

Endelea kumdanganya baada ya kumwambia ukweli mnaimba mapambio ya kusifu atajikuta yuko peke yake watu wapo nae kimwili kiakiri watu wanamwombea Lissu apone fasta
 
Mungu mwenye nguvu na enzi amlinde na kumkinga na kumpa ujasiri na maarifa mheshimiwa Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli. Kwa hakika ni rais wa kuigwa.
MUNGU AMBARIKI RAIS MAGUFULI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipende kuchukua fursa hii kumtia moyo Rais wangu mpendwa Dr Magufuli,Rais pekee mkombozi wa Taifa letu.Ni kiongozi ambae ameleta matumani mapya kwa watanzania tangu aingie madarakani miaka miwili iliyopita.
Rais huyu ameleta mabadiliko makubwa katika sera na utendaji wa serikali.Rushwa,nidhamu kazini,upatikanaji wa huduma za kijamii kama elimu bure,madawa hospitalini na vita dhidi ya madawa ya kulevya na ufisadi.Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae anaweza bisha kuwa haya niliyo yatamka hayaonekani.Mtu huyu akipatikana miongoni mwetu(watanzania) basi atakuwa na lake jambo

Ni kweli changamoto zipo kama upungufu wa waalimu,vyumba vya madarasa,vifaa vya kufundishia kama vitabu na vifaa vya maabara.Lakini hili sio tatizo sana maana kila mafanikio yana changamoto zake,Na serikali inafanya jitihada za dhati kutatua haya mapungufu machache.Jitihada hizi zinaonekana dhahiri.

Mosi ELIMU,
Suala waalimu.
Serikali imeimarisha vyuo vya diploma ya ualimu na kuvikarabati ili kutoa waalimu bora kwa ajili ya shule zetu za msingi na sekondari.Na katika hili serikali imeongeza viwango vya udahili ili kupata kupata waalimu wazuri na mwisho wa siku wanafunzi wetu wapate elimu bora.Atakuja mtu mwingine na maneno yake ya hovyo kuwa serikali haijafanya lolote katika hili apuuzwe haraka.
Suala la madawati
Serikali ya awamu ya tano ilipoingia tu madarakani ilianza na suala la madawati na hivi sasa tatizo la madawati limebaki historia kwa kiwango kikubwa.
Vifaa vya maabara
Serikali imesambaza vifaa vya maabara kwa kiwango kikubwa sana na tatizo hili limepungua sana.Hakika mtanzania maskini ambae mwanae anasoma katika shule za kata anafaidi matunda ya uhuru.
Maslahi ya waalimu na watumishi wengine
Bilioni zaidi ya mia sita zimetengwa na muda wowote watalipwa.

PILI,UFISADI
Mafisadi wanaisoma namba dhahiri shahiri mchana kweupe.

TATU,WAFANYA BIASHARA WADOGO NA WAKULIMA
.
Kodi kero hazipo tena,mafisadi wa mbolea na mbegu za wakulima wameshughulikiwa kikamilifu
Wamachinga wanafanya bishara bila bughudha kama unabisha njoo Dodoma ujionee walivyotengenezewa mazingira rafiki

NIDHAMU KAZINI
Kwa sasa unaweza fika ofisi yoyote na ukahudumiwa kama mfalme,urasimu sasa ishakuwa zilipendwa kama nyimbo ya wasafi

TABIA YA KUJITUMA KUFANYA KAZI
Rais ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Katujengea tabia ya kujituma katika kazi na kuthamini pesa kidogo tunayopata.Habari ya kuweka heshima baa chini ya JPM imekuewa zilipendwa ya wasafi

Kwa ufupi serikali imefanya na inaendelea kufanya mambo mengi makubwa kwa maslahi ya watanzania.Wapo wachache kwa sababu wanazo zijua wao wameendelea kuzipuuza juhudi hizi za serikali.Wapo waliodiriki kutoa lugha kali na zenye ukakasi dhidi ya Rais wetu.Lakini Rais kwa kuwa ni kiongozi shupavu na mwenye uthubutu mkubwa hatakatishwa tamaa na maneno ya hovyo ya wapinga maendeleo popote walipo nje na ndani ya nchi.Na mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa nikiwakilisha watanzania wenzangu wengi tuko pamoja na wewe Rais wetu no matter what.
Wananchi hatutaki ujuvi wa kuongea na kupiga porojo tunataka maendeleo na hakika tunayaona kupitia serikali ya CCM chini ya JPM.

Long live JPM;HAPA KAZI TU
Jaruri,,0712207633
Hatumkubali MTU mwenye roho ya kichawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipende kuchukua fursa hii kumtia moyo Rais wangu mpendwa Dr Magufuli,Rais pekee mkombozi wa Taifa letu.Ni kiongozi ambae ameleta matumani mapya kwa watanzania tangu aingie madarakani miaka miwili iliyopita.
Rais huyu ameleta mabadiliko makubwa katika sera na utendaji wa serikali.Rushwa,nidhamu kazini,upatikanaji wa huduma za kijamii kama elimu bure,madawa hospitalini na vita dhidi ya madawa ya kulevya na ufisadi.Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae anaweza bisha kuwa haya niliyo yatamka hayaonekani.Mtu huyu akipatikana miongoni mwetu(watanzania) basi atakuwa na lake jambo

Ni kweli changamoto zipo kama upungufu wa waalimu,vyumba vya madarasa,vifaa vya kufundishia kama vitabu na vifaa vya maabara.Lakini hili sio tatizo sana maana kila mafanikio yana changamoto zake,Na serikali inafanya jitihada za dhati kutatua haya mapungufu machache.Jitihada hizi zinaonekana dhahiri.

Mosi ELIMU,
Suala waalimu.
Serikali imeimarisha vyuo vya diploma ya ualimu na kuvikarabati ili kutoa waalimu bora kwa ajili ya shule zetu za msingi na sekondari.Na katika hili serikali imeongeza viwango vya udahili ili kupata kupata waalimu wazuri na mwisho wa siku wanafunzi wetu wapate elimu bora.Atakuja mtu mwingine na maneno yake ya hovyo kuwa serikali haijafanya lolote katika hili apuuzwe haraka.
Suala la madawati
Serikali ya awamu ya tano ilipoingia tu madarakani ilianza na suala la madawati na hivi sasa tatizo la madawati limebaki historia kwa kiwango kikubwa.
Vifaa vya maabara
Serikali imesambaza vifaa vya maabara kwa kiwango kikubwa sana na tatizo hili limepungua sana.Hakika mtanzania maskini ambae mwanae anasoma katika shule za kata anafaidi matunda ya uhuru.
Maslahi ya waalimu na watumishi wengine
Bilioni zaidi ya mia sita zimetengwa na muda wowote watalipwa.

PILI,UFISADI
Mafisadi wanaisoma namba dhahiri shahiri mchana kweupe.

TATU,WAFANYA BIASHARA WADOGO NA WAKULIMA
.
Kodi kero hazipo tena,mafisadi wa mbolea na mbegu za wakulima wameshughulikiwa kikamilifu
Wamachinga wanafanya bishara bila bughudha kama unabisha njoo Dodoma ujionee walivyotengenezewa mazingira rafiki

NIDHAMU KAZINI
Kwa sasa unaweza fika ofisi yoyote na ukahudumiwa kama mfalme,urasimu sasa ishakuwa zilipendwa kama nyimbo ya wasafi

TABIA YA KUJITUMA KUFANYA KAZI
Rais ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Katujengea tabia ya kujituma katika kazi na kuthamini pesa kidogo tunayopata.Habari ya kuweka heshima baa chini ya JPM imekuewa zilipendwa ya wasafi

Kwa ufupi serikali imefanya na inaendelea kufanya mambo mengi makubwa kwa maslahi ya watanzania.Wapo wachache kwa sababu wanazo zijua wao wameendelea kuzipuuza juhudi hizi za serikali.Wapo waliodiriki kutoa lugha kali na zenye ukakasi dhidi ya Rais wetu.Lakini Rais kwa kuwa ni kiongozi shupavu na mwenye uthubutu mkubwa hatakatishwa tamaa na maneno ya hovyo ya wapinga maendeleo popote walipo nje na ndani ya nchi.Na mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa nikiwakilisha watanzania wenzangu wengi tuko pamoja na wewe Rais wetu no matter what.
Wananchi hatutaki ujuvi wa kuongea na kupiga porojo tunataka maendeleo na hakika tunayaona kupitia serikali ya CCM chini ya JPM.

Long live JPM;HAPA KAZI TU
Jaruri,,0712207633
Unatafuta teuzi shauri yako mwenzako bashite aligawa tigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipende kuchukua fursa hii kumtia moyo Rais wangu mpendwa Dr Magufuli,Rais pekee mkombozi wa Taifa letu.Ni kiongozi ambae ameleta matumani mapya kwa watanzania tangu aingie madarakani miaka miwili iliyopita.
Rais huyu ameleta mabadiliko makubwa katika sera na utendaji wa serikali.Rushwa,nidhamu kazini,upatikanaji wa huduma za kijamii kama elimu bure,madawa hospitalini na vita dhidi ya madawa ya kulevya na ufisadi.Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae anaweza bisha kuwa haya niliyo yatamka hayaonekani.Mtu huyu akipatikana miongoni mwetu(watanzania) basi atakuwa na lake jambo

Ni kweli changamoto zipo kama upungufu wa waalimu,vyumba vya madarasa,vifaa vya kufundishia kama vitabu na vifaa vya maabara.Lakini hili sio tatizo sana maana kila mafanikio yana changamoto zake,Na serikali inafanya jitihada za dhati kutatua haya mapungufu machache.Jitihada hizi zinaonekana dhahiri.

Mosi ELIMU,
Suala waalimu.
Serikali imeimarisha vyuo vya diploma ya ualimu na kuvikarabati ili kutoa waalimu bora kwa ajili ya shule zetu za msingi na sekondari.Na katika hili serikali imeongeza viwango vya udahili ili kupata kupata waalimu wazuri na mwisho wa siku wanafunzi wetu wapate elimu bora.Atakuja mtu mwingine na maneno yake ya hovyo kuwa serikali haijafanya lolote katika hili apuuzwe haraka.
Suala la madawati
Serikali ya awamu ya tano ilipoingia tu madarakani ilianza na suala la madawati na hivi sasa tatizo la madawati limebaki historia kwa kiwango kikubwa.
Vifaa vya maabara
Serikali imesambaza vifaa vya maabara kwa kiwango kikubwa sana na tatizo hili limepungua sana.Hakika mtanzania maskini ambae mwanae anasoma katika shule za kata anafaidi matunda ya uhuru.
Maslahi ya waalimu na watumishi wengine
Bilioni zaidi ya mia sita zimetengwa na muda wowote watalipwa.

PILI,UFISADI
Mafisadi wanaisoma namba dhahiri shahiri mchana kweupe.

TATU,WAFANYA BIASHARA WADOGO NA WAKULIMA
.
Kodi kero hazipo tena,mafisadi wa mbolea na mbegu za wakulima wameshughulikiwa kikamilifu
Wamachinga wanafanya bishara bila bughudha kama unabisha njoo Dodoma ujionee walivyotengenezewa mazingira rafiki

NIDHAMU KAZINI
Kwa sasa unaweza fika ofisi yoyote na ukahudumiwa kama mfalme,urasimu sasa ishakuwa zilipendwa kama nyimbo ya wasafi

TABIA YA KUJITUMA KUFANYA KAZI
Rais ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Katujengea tabia ya kujituma katika kazi na kuthamini pesa kidogo tunayopata.Habari ya kuweka heshima baa chini ya JPM imekuewa zilipendwa ya wasafi

Kwa ufupi serikali imefanya na inaendelea kufanya mambo mengi makubwa kwa maslahi ya watanzania.Wapo wachache kwa sababu wanazo zijua wao wameendelea kuzipuuza juhudi hizi za serikali.Wapo waliodiriki kutoa lugha kali na zenye ukakasi dhidi ya Rais wetu.Lakini Rais kwa kuwa ni kiongozi shupavu na mwenye uthubutu mkubwa hatakatishwa tamaa na maneno ya hovyo ya wapinga maendeleo popote walipo nje na ndani ya nchi.Na mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa nikiwakilisha watanzania wenzangu wengi tuko pamoja na wewe Rais wetu no matter what.
Wananchi hatutaki ujuvi wa kuongea na kupiga porojo tunataka maendeleo na hakika tunayaona kupitia serikali ya CCM chini ya JPM.

Long live JPM;HAPA KAZI TU
Jaruri,,0712207633
Yaani wewe na ukoo wako ndiyo unajiita mko wengi?
 
Nipende kuchukua fursa hii kumtia moyo Rais wangu mpendwa Dr Magufuli,Rais pekee mkombozi wa Taifa letu.Ni kiongozi ambae ameleta matumani mapya kwa watanzania tangu aingie madarakani miaka miwili iliyopita.
Rais huyu ameleta mabadiliko makubwa katika sera na utendaji wa serikali.Rushwa,nidhamu kazini,upatikanaji wa huduma za kijamii kama elimu bure,madawa hospitalini na vita dhidi ya madawa ya kulevya na ufisadi.Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae anaweza bisha kuwa haya niliyo yatamka hayaonekani.Mtu huyu akipatikana miongoni mwetu(watanzania) basi atakuwa na lake jambo

Ni kweli changamoto zipo kama upungufu wa waalimu,vyumba vya madarasa,vifaa vya kufundishia kama vitabu na vifaa vya maabara.Lakini hili sio tatizo sana maana kila mafanikio yana changamoto zake,Na serikali inafanya jitihada za dhati kutatua haya mapungufu machache.Jitihada hizi zinaonekana dhahiri.

Mosi ELIMU,
Suala waalimu.
Serikali imeimarisha vyuo vya diploma ya ualimu na kuvikarabati ili kutoa waalimu bora kwa ajili ya shule zetu za msingi na sekondari.Na katika hili serikali imeongeza viwango vya udahili ili kupata kupata waalimu wazuri na mwisho wa siku wanafunzi wetu wapate elimu bora.Atakuja mtu mwingine na maneno yake ya hovyo kuwa serikali haijafanya lolote katika hili apuuzwe haraka.
Suala la madawati
Serikali ya awamu ya tano ilipoingia tu madarakani ilianza na suala la madawati na hivi sasa tatizo la madawati limebaki historia kwa kiwango kikubwa.
Vifaa vya maabara
Serikali imesambaza vifaa vya maabara kwa kiwango kikubwa sana na tatizo hili limepungua sana.Hakika mtanzania maskini ambae mwanae anasoma katika shule za kata anafaidi matunda ya uhuru.
Maslahi ya waalimu na watumishi wengine
Bilioni zaidi ya mia sita zimetengwa na muda wowote watalipwa.

PILI,UFISADI
Mafisadi wanaisoma namba dhahiri shahiri mchana kweupe.

TATU,WAFANYA BIASHARA WADOGO NA WAKULIMA
.
Kodi kero hazipo tena,mafisadi wa mbolea na mbegu za wakulima wameshughulikiwa kikamilifu
Wamachinga wanafanya bishara bila bughudha kama unabisha njoo Dodoma ujionee walivyotengenezewa mazingira rafiki

NIDHAMU KAZINI
Kwa sasa unaweza fika ofisi yoyote na ukahudumiwa kama mfalme,urasimu sasa ishakuwa zilipendwa kama nyimbo ya wasafi

TABIA YA KUJITUMA KUFANYA KAZI
Rais ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Katujengea tabia ya kujituma katika kazi na kuthamini pesa kidogo tunayopata.Habari ya kuweka heshima baa chini ya JPM imekuewa zilipendwa ya wasafi

Kwa ufupi serikali imefanya na inaendelea kufanya mambo mengi makubwa kwa maslahi ya watanzania.Wapo wachache kwa sababu wanazo zijua wao wameendelea kuzipuuza juhudi hizi za serikali.Wapo waliodiriki kutoa lugha kali na zenye ukakasi dhidi ya Rais wetu.Lakini Rais kwa kuwa ni kiongozi shupavu na mwenye uthubutu mkubwa hatakatishwa tamaa na maneno ya hovyo ya wapinga maendeleo popote walipo nje na ndani ya nchi.Na mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa nikiwakilisha watanzania wenzangu wengi tuko pamoja na wewe Rais wetu no matter what.
Wananchi hatutaki ujuvi wa kuongea na kupiga porojo tunataka maendeleo na hakika tunayaona kupitia serikali ya CCM chini ya JPM.

Long live JPM;HAPA KAZI TU
Jaruri,,0712207633
Ungeweza kuteuliwa kuwa mtendaji wa kijiji lkn nafasi zimejaa
 
Back
Top Bottom