Dr. Magufuli nguli wa Sayansi anayejua matatizo ya Tanzania

At lest wewe umeleta uzi wa maana..ila mfumo aliopo haufai..umeoza angetoroka aje sawa..ila kwa ccm ya akina lusinde, wasira, wema hapana nchi itadidimia kwenye matope

Nchi imeshadidimia tayari.
 
Anayajua baada ya kuutaka uraisi lakini hakuyajua kipindi cha miaka 10aliyokuwa madarakani. Hata hoja kuchangia ili kutatua hayo matatizo hakutoa.
 
mungu ametuambia magufuli ndiyo wakati wake sasa mungu atamvusha na kuwa kiongozi wa tanzania.

hebu acheni mchezo na Mungu, unadhan ndo 2005 mkatuambia baba liz ni chaguo la mungu, kumbe katumwa na shetani kuja kupiga mafungu yetu ya pesa. watanzania wamechoshwa na ahadi hewa.
 
magufuli atawalaza nje mwaka huu wahuni kama mafisadi na wauza madawa akina makongoro mahanaga hawana chao wajiandae kulima tu hakuna vya bure tena.

haa haa aanze kwanza na yeye mwenyewe. kisha mwenyekiti wa magamba. maana katika list of shame wamo.
 
Dr Magufuli ni miongoni mwa viongozi wachache duniani waliosoma Sayansi na Kui apply elimu kwa vitendo katika uongozi , moja ya sifa kuu ya mwanasayansi ni kufanya tafiti , hili Dr Magufuli alilitekeleza kwa vitendo kwa kuzunguka kwenye mizani mida ya kushtukiza na kukagua uendeshwaji wake na hasa kufuatilia suala la rushwa.

Dr. Magufuli kajipambanua kama kiongozi , Wa kuigwa na kufuata misingi ya Azimio ya Arusha kwa kujua kwamba ili nchi iendelee inahitaji ,vifuatavyo; Ardhi, Watu , uongozi Bora na Siasa safi.

Ardhi
Upande huu , kautendea haki kwani kawa kiongoz Wa kuigwa kwa kuhakikisha rasilimali Ardhi inatumika ipasavyo ikiwemo kujenga barabara za kiwango cha lami Tanzania nzima , kwa uthubutu Wa kusimamia pesa zinatoka.

Watu

Katumia rasilimali watu ipasavyo hasa kuwapigania wakandarasi wazawa waungane na kuhakikisha maendeleo ya Tanzania , yanaletwa na watanzania wenyewe.

Siasa Safi

Dr Maghufuli ni mwanasiasa asiyejihusisha na siasa za fitina,majungu na uzushi Bali ni muumini mzuri Wa siasa safi

Uongozi Bora

Katika uongoz bora kwa serikali ya awamu ya NNE , Dr Magufuli ameonesha njia ya uongoz bora na kuwa kiongoz Wa mfano kwa kila mtanzania

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Huyu ndiye mwanasayansi aliyetumia elimu yake ya sayansi kufanikisha maendeleo ya kivitendo na yanayoonekana ndani na nje ya nchi

" God Created Tanzania as it is but Dr. Magufuli construct infrastructure which has not been in Tanzania"

Dr Magufuli deserve to be our next President 2015-2020

Ametatuaje kero za wananchi wa jimbo lake ambalo amelihudumia kwa miaka 20?
 
Dr Magufuli ni miongoni mwa viongozi wachache duniani waliosoma Sayansi na Kui apply elimu kwa vitendo katika uongozi , moja ya sifa kuu ya mwanasayansi ni kufanya tafiti , hili Dr Magufuli alilitekeleza kwa vitendo kwa kuzunguka kwenye mizani mida ya kushtukiza na kukagua uendeshwaji wake na hasa kufuatilia suala la rushwa.

Dr. Magufuli kajipambanua kama kiongozi , Wa kuigwa na kufuata misingi ya Azimio ya Arusha kwa kujua kwamba ili nchi iendelee inahitaji ,vifuatavyo; Ardhi, Watu , uongozi Bora na Siasa safi.

Ardhi
Upande huu , kautendea haki kwani kawa kiongoz Wa kuigwa kwa kuhakikisha rasilimali Ardhi inatumika ipasavyo ikiwemo kujenga barabara za kiwango cha lami Tanzania nzima , kwa uthubutu Wa kusimamia pesa zinatoka.

Watu

Katumia rasilimali watu ipasavyo hasa kuwapigania wakandarasi wazawa waungane na kuhakikisha maendeleo ya Tanzania , yanaletwa na watanzania wenyewe.

Siasa Safi

Dr Maghufuli ni mwanasiasa asiyejihusisha na siasa za fitina,majungu na uzushi Bali ni muumini mzuri Wa siasa safi

Uongozi Bora

Katika uongoz bora kwa serikali ya awamu ya NNE , Dr Magufuli ameonesha njia ya uongoz bora na kuwa kiongoz Wa mfano kwa kila mtanzania

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Huyu ndiye mwanasayansi aliyetumia elimu yake ya sayansi kufanikisha maendeleo ya kivitendo na yanayoonekana ndani na nje ya nchi

" God Created Tanzania as it is but Dr. Magufuli construct infrastructure which has not been in Tanzania"

Dr Magufuli deserve to be our next President 2015-2020

Na hili la BRT milango ya kushukia kushoto vituo kuliko ni moja ubora wake katika kutatua kero eh!
 
Na hili la BRT milango ya kushukia kushoto vituo kuliko ni moja ubora wake katika kutatua kero eh!

Magufuli yeye kazi yake iliishia kwenye barabara ... Hayo mabus ni tender ilitolewa kwa kampuni ... Serikali haihusiki...
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom