Kulingana na KatIbu mkuu wa CCM, Dr. Bashiru, vyama kama KANU viliondoka madarakani kwa sababu havikutaka kutumia nguvu ya vyombo vya dola kubaki madarakani. CCM HAITAFANYA KOSA HILO. ITATUMIA VILIVYO NGUVU YA VYOMBO VYA DOLA DHIDI YA WAPINZANI ILI KUJIHAKIKISHIA KUBAKI MADARAKANI. Kukamatwa na vyombo vya dola, kutekwa, kupigwa, kubambikiwa makosa ya uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha, kutumia tume ya uchaguzi kubadilisha matokeo na maovu yote kwa kipindi hiki yatafanywa sana na vyombo vya dola kwa maelekezo ya Ccm ili ibaki madarakani. So what???
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app