Dr Magufuli na Dr Mwakyembe walifanya vyema kugawa ilani ya CCM kwa Tanroad officers?

Ngalikivembu

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
1,959
872
Mara baada ya kuapishwa rasmi kuchukua majukumu yao,Waziri wa Ujenzi na Naibu wake (Dr Magufuli na Dr Mwakyembe) walifanya mkutano na watendaji wote wa Tanroads pale ukumbi wa Karimjee jijin Dar.Japo ilikuwa siku ya mapumziko Jumapili lakini mawaziri hao waliamua kukutana nao ili kuwapa "msimamo'' wao.Nilichokiona mimi na kustaajabia ilikuwa ni kuona mawaziri hao wakigawa ilani ya CCM.Hili nilishindwa kulielewa kidogo.Hawajui kuwa pale si wote ni wanachama wa CCM?Au ndio kusema kila mfanyakazi tayari anakuwa mwanachama indirect?Katika hili nadhani hawakuwa sahihi japo nia ni nzuri.Hivi atakapo kuja kubaini kuwa wengine waliamua kuzitupa jalalani watawafukuza kazi?
Naomba kusaidiwa katika hili.
 
Mimi sioni ubaya hapo kwa sababu wanatakiwa kutekeleza wajibu wao ili kufanikisha yaliyomo kwenye ilani ya CCM.
 
Mkuu, mawaziri hao ni wananchama wa CCM walioteuliwa na rais wa CCM ili watekeleze ilani ya uchaguzi ya CCM, kwahiyo waliochini yao nao wanaingia kwenye kokoro hilo bila kupenda. Ni kweli kwa wafuasi wa vyama vingine inaudhi kwa kiasi chake lakini ndugu yangu utafanya nini? Kama hutaki wanakwambia uache kazi. Lakini kizuri ni kwamba hawafanyi cha kubomoa bali cha kujenga kwahiyo sioni tatizo hapo.
 
Mara baada ya kuapishwa rasmi kuchukua majukumu yao,Waziri wa Ujenzi na Naibu wake (Dr Magufuli na Dr Mwakyembe) walifanya mkutano na watendaji wote wa Tanroads pale ukumbi wa Karimjee jijin Dar.Japo ilikuwa siku ya mapumziko Jumapili lakini mawaziri hao waliamua kukutana nao ili kuwapa "msimamo'' wao.Nilichokiona mimi na kustaajabia ilikuwa ni kuona mawaziri hao wakigawa ilani ya CCM.Hili nilishindwa kulielewa kidogo.Hawajui kuwa pale si wote ni wanachama wa CCM?Au ndio kusema kila mfanyakazi tayari anakuwa mwanachama indirect?Katika hili nadhani hawakuwa sahihi japo nia ni nzuri.Hivi atakapo kuja kubaini kuwa wengine waliamua kuzitupa jalalani watawafukuza kazi?
Naomba kusaidiwa katika hili.


chama kinachoshinda uchaguzi ndiyo kinatawala. na kinatoa ilani yake kwa serikali ili serikali iitekeleze. sasa hao wakurugenzi wa tanroads ndiyo watumishi wa serikali, ni vema wao kuijua hiyo ilani kwani ndiyo watakuwa wakiitekeleza, wawe ccm wasiwe ccm wao hutumikia serikali, na sarikali ndo inatimiza ilani ya ccm- ni katiba ya nchi inasema hayo. hilo la kugawa vitabu vya ilani halina tofauti na wengine wange toa copy na kusambaza kwa mawizara na idara- hakuna kosa hapo
 
Nimewaelewa wakuu.Kama katiba inatulazimisha hivo basi tunahitaji mabadiliko.
 
Mara baada ya kuapishwa rasmi kuchukua majukumu yao,Waziri wa Ujenzi na Naibu wake (Dr Magufuli na Dr Mwakyembe) walifanya mkutano na watendaji wote wa Tanroads pale ukumbi wa Karimjee jijin Dar.Japo ilikuwa siku ya mapumziko Jumapili lakini mawaziri hao waliamua kukutana nao ili kuwapa "msimamo'' wao.Nilichokiona mimi na kustaajabia ilikuwa ni kuona mawaziri hao wakigawa ilani ya CCM.Hili nilishindwa kulielewa kidogo.Hawajui kuwa pale si wote ni wanachama wa CCM?Au ndio kusema kila mfanyakazi tayari anakuwa mwanachama indirect?Katika hili nadhani hawakuwa sahihi japo nia ni nzuri.Hivi atakapo kuja kubaini kuwa wengine waliamua kuzitupa jalalani watawafukuza kazi?
Naomba kusaidiwa katika hili.
Namimi ntamdharau sana safari hii akiendelea kujikomba kwa watu ambao anajua kabisa kawazidi akili..na kuwaachia kina ben membe ndio waje wagombee rsaisi yeye asubiri kazi tu za kutumwa na kuendelda kukremu mambo tu....ameanza unafiki huyo na ndin maana alipewa mgao wa kifisadi wa nyumba za NHC za boko akakubali kwa ajili ya kujikomba kwake.
 
Back
Top Bottom