NIMEIPENDA HYO WAPIGANAJI NA WAPIGANISHAJIHata wewe ni Mkuu wa Wilaya nyumbani kwako usihofu sana,hii ndio dunia kuna watawala na watawaliwa,kuna wapiganaji na wapiganishaji,kuna watukufu na wasiokuwa na utukufu ridhika na hali yao.
Kivipi labda ungetoa maelezo kiduchu.