BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kujiamin kwake kamzidi mtoto wa kigoma Kakobe so atulie mdundo wa asaiv hauwez tuna speed kubwa sana ya maendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatulazimisha kutembea na miavuli ili tuweze kuudhuria mikutano yakeKabudi mwepesi mno.anahutubia kama anaongea na watoto wake.
ITV imeshika adabu, STAR TV ni marehemu anatembea na sanda, waliobaki wanamilikiwa na nzi wa kijani, sisi tukitaka habari tunaangalia al jazeera, bbc, KTN,CITIZEN NA TBC.
Channel 10 ilikuwa ya Rostam, wamembana pale pahala kaitoa zawadi kwa nzi wa kijani, Lwaitama hatokaa kukanyaga tena hukoameadimika sana jaman..zaman alikua hakosi chanel 10
Tbc ni kishindo cha awamu ya tano 24/7 mkuu. Uchumi unazidi kudorora wao wanasifia ujinga tu!ITV imeshika adabu, STAR TV ni marehemu anatembea na sanda, waliobaki wanamilikiwa na nzi wa kijani, sisi tukitaka habari tunaangalia al jazeera, bbc, KTN,CITIZEN NA TBC.
JUST imagine TBC hawatangazi kabisa habari za vyama vingine isipokuwa tu kama mpinzani akihamia CCM kwao ni habari.
Kati ya viongozi ambao nawaheshimu sana ambao wapo nje ya ajira ya serikali ni huyu mzee lwaitama
In God we trust
mimi huwa naona kama TBC wamelogwa, alafu ahat hayana aibu, basi kama hawamwogopi Mungu wamwogope shetani maan sometimes shetani anasema ukweli na uongo, yenyewe uongo mwanzo mwishoTbc ni kishindo cha awamu ya tano 24/7 mkuu. Uchumi unazidi kudorora wao wanasifia ujinga tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna mwana CCM ana uwezo wa kujibu hoja za Lissu tuwe wawazi.Washindane hoja Tundu Lissu, Kabudi na jeshi zima la Watu wasiojulikana