Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,058
Aisee in short huyu jamaa yetu kichwani zimeyumba.
Au anajua anachokifanya.
Usicheze na urusi baba.
Been there 8 years.
Jamaa wengi nimeona wakifa kizembe na wengine wakiwa mentor kindezibsana wanakupigisha mastori ya billions dollars.
In short nitaanzishs uzi wa life la wanafunzi wa .ru na dramma zao.
Na kitu gani kinasababisha.
Na huwa wakiondoka hapa wanakuwa na expectation gani, familia zinaexpect nini kwa mtoto wao aliyepo ulaya.
Na sasa wanachokikuta kule, na wanachowaambia ndugu zao.
Na akirudi huku ana akirudishwa huku ni aibu. Anarudi na pum** tu, ndugu wanategemea urudi kutoa msaada.
Sasa wengi wao anamua kujifanya kuwa chizi.
( kama hutoelewa concept yangu fuatilia thread nitakayoanzisha)
Cc Inna Maserati
Nitaomba tag ya nguvuuuuuuAisee in short huyu jamaa yetu kichwani zimeyumba.
Au anajua anachokifanya.
Usicheze na urusi baba.
Been there 8 years.
Jamaa wengi nimeona wakifa kizembe na wengine wakiwa mentor kindezibsana wanakupigisha mastori ya billions dollars.
In short nitaanzishs uzi wa life la wanafunzi wa .ru na dramma zao.
Na kitu gani kinasababisha.
Na huwa wakiondoka hapa wanakuwa na expectation gani, familia zinaexpect nini kwa mtoto wao aliyepo ulaya.
Na sasa wanachokikuta kule, na wanachowaambia ndugu zao.
Na akirudi huku ana akirudishwa huku ni aibu. Anarudi na pum** tu, ndugu wanategemea urudi kutoa msaada.
Sasa wengi wao anamua kujifanya kuwa chizi.
( kama hutoelewa concept yangu fuatilia thread nitakayoanzisha)
Cc Inna Maserati