Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
Majibu ya interview alofanyiwa na kipindi cha wanawake live cha EATV.
Aliulizwa yeye ni mke wa mtu mwenye nafasi kubwa katika jamii (kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ndugu Aikael Mbowe), wana mali na maisha mazuri inakuwaje anachapa kazi kwa bidii?
Mimi ni mwanamke msomi wa degree na masters ya udaktari, nimelelewa katika mantiki ya kujijenga mimi kama mimi na nisitegemee mtu mwingine. Mimi kuolewa na mwanaume mwenye fursa ktk jamii siyo tija na kuna kitu ktk roho yangu kinachoniambia lazima nifanye kazi.Siamini katika mantiki ya kula kulala, hata kama pesa ipo lazima mtu ufanye kazi fulani kusudi uweze kuijenga ile pesa, kuingiza kipato na kujua kinachotokea.Kama ningekuwa amelala nyumbani sifanyi kitu chochote,tatizo laweza tokea, kuna leo na kesho.Leo niko na mume wangu kesho na kesho kutwa siko naye .Sasa baada ya hapo nitakwenda wapi? Au baada ya hapo nitafanya nini?
Je wanawake tegemezi wapo?
Kadri siku zinavyo kwenda kina mama nao wanaanza kujipatia kipato. Kuna kupewa lakini kupewa huko kuna mwisho wake.Kadri siku zinavyo kwenda zana ya mama wa nyumbani inatoweka, /inapungua kwa kina mama wengi.Lakini bado wako wengine wanapenda maisha ya kufurahia mali na position /kazi za waume zao na kutake advantage.
Unawaambia nini wanawake wategemezi?
Wawe waangalifu,kazi za watu zinapanda na kushuka, biashara nazo zinacollapse zinaisha,kuna kuchukuliwa na mwenyezi Mungu ghafla tu,sasa mama kama hujasimama na miguu yako miwili unaweza kupata shida sana.
Ushauri kwa wanaume wanaodekeza wake zao;
Sidhani kama ni vizuri kudekeza mwanamke,kuna dini na mila zisemazo kwamba mwanaume ndo anatunza mwanamke lakini kwa karne hii ya 21 sidhani kama twaweza kuendelea kushikilia mila za zamani za kusema mwanamke tu atunzwe.Kwajinsi maisha yanavyokwenda na baadhi ya mambo kubadilika, wanaume wengi wanaona nikiondoka leo, au nikimpa talaka huyu mwanamke anaweza akapata shida, hivyo kama unampenda mwenzio, nashauri kinababa wajaribu kusukuma kina mama wajaribu kufanya kitu chochote cha kujiendeleza, badala ya kuwadekeza sana na wao kubakia wanashughulikia kila kitu.
Anasema ana bahati mumewe siyo wa aina ile ya wanaume kudekeza wanawake na kuwaacha wakae tu idle, while wao wakiprovide kila kitu.Ana mume ambaye naye ndiye anayemsukuma na anamwambia kwamba lazima uwe na maisha yako lazima uwe na vitu vyako, lazima ujijenge. Anasema Kama siku hizi huwa wanagombana maana anamwambia lazima aende akasomee MBA, ukizingatia she is a doctor by profession, lakini sasa anashughulika na family business so mumewe anamsukuma asome zaidi hataki abaki hapo alipo anamshawishi achukue MBA ili aweze kufanya biashara vizuri.
My take:
Binafsi nilikuwa sijawahi kumwona Dr. Lilian Mbowe kabla, nimemwona kwa mara ya kwanza kwenye interview hii. Appearance yake natural and simpe, classy, msomi, even the way she speak amedisplay hilo.Sasa nimeamini wanawake wengi wenye uwezo na wachapa kazi, ni very discreet, hawacomplicate wala kufake appearances, they know how to speak and even to behave. Tofauti na manungayembe, kichwani hamna kitu, lakini atajishaua kila mtu amjue yeye ni mke wa nani.
Big up Dr. Lilian Mbowe, umeniinspire and am adding you to the list of my role models!!
Aliulizwa yeye ni mke wa mtu mwenye nafasi kubwa katika jamii (kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ndugu Aikael Mbowe), wana mali na maisha mazuri inakuwaje anachapa kazi kwa bidii?
Mimi ni mwanamke msomi wa degree na masters ya udaktari, nimelelewa katika mantiki ya kujijenga mimi kama mimi na nisitegemee mtu mwingine. Mimi kuolewa na mwanaume mwenye fursa ktk jamii siyo tija na kuna kitu ktk roho yangu kinachoniambia lazima nifanye kazi.Siamini katika mantiki ya kula kulala, hata kama pesa ipo lazima mtu ufanye kazi fulani kusudi uweze kuijenga ile pesa, kuingiza kipato na kujua kinachotokea.Kama ningekuwa amelala nyumbani sifanyi kitu chochote,tatizo laweza tokea, kuna leo na kesho.Leo niko na mume wangu kesho na kesho kutwa siko naye .Sasa baada ya hapo nitakwenda wapi? Au baada ya hapo nitafanya nini?
Je wanawake tegemezi wapo?
Kadri siku zinavyo kwenda kina mama nao wanaanza kujipatia kipato. Kuna kupewa lakini kupewa huko kuna mwisho wake.Kadri siku zinavyo kwenda zana ya mama wa nyumbani inatoweka, /inapungua kwa kina mama wengi.Lakini bado wako wengine wanapenda maisha ya kufurahia mali na position /kazi za waume zao na kutake advantage.
Unawaambia nini wanawake wategemezi?
Wawe waangalifu,kazi za watu zinapanda na kushuka, biashara nazo zinacollapse zinaisha,kuna kuchukuliwa na mwenyezi Mungu ghafla tu,sasa mama kama hujasimama na miguu yako miwili unaweza kupata shida sana.
Ushauri kwa wanaume wanaodekeza wake zao;
Sidhani kama ni vizuri kudekeza mwanamke,kuna dini na mila zisemazo kwamba mwanaume ndo anatunza mwanamke lakini kwa karne hii ya 21 sidhani kama twaweza kuendelea kushikilia mila za zamani za kusema mwanamke tu atunzwe.Kwajinsi maisha yanavyokwenda na baadhi ya mambo kubadilika, wanaume wengi wanaona nikiondoka leo, au nikimpa talaka huyu mwanamke anaweza akapata shida, hivyo kama unampenda mwenzio, nashauri kinababa wajaribu kusukuma kina mama wajaribu kufanya kitu chochote cha kujiendeleza, badala ya kuwadekeza sana na wao kubakia wanashughulikia kila kitu.
Anasema ana bahati mumewe siyo wa aina ile ya wanaume kudekeza wanawake na kuwaacha wakae tu idle, while wao wakiprovide kila kitu.Ana mume ambaye naye ndiye anayemsukuma na anamwambia kwamba lazima uwe na maisha yako lazima uwe na vitu vyako, lazima ujijenge. Anasema Kama siku hizi huwa wanagombana maana anamwambia lazima aende akasomee MBA, ukizingatia she is a doctor by profession, lakini sasa anashughulika na family business so mumewe anamsukuma asome zaidi hataki abaki hapo alipo anamshawishi achukue MBA ili aweze kufanya biashara vizuri.
My take:
Binafsi nilikuwa sijawahi kumwona Dr. Lilian Mbowe kabla, nimemwona kwa mara ya kwanza kwenye interview hii. Appearance yake natural and simpe, classy, msomi, even the way she speak amedisplay hilo.Sasa nimeamini wanawake wengi wenye uwezo na wachapa kazi, ni very discreet, hawacomplicate wala kufake appearances, they know how to speak and even to behave. Tofauti na manungayembe, kichwani hamna kitu, lakini atajishaua kila mtu amjue yeye ni mke wa nani.
Big up Dr. Lilian Mbowe, umeniinspire and am adding you to the list of my role models!!