Dr. Kitila wa UDSM akiwa na makamanda asema "acheni uoga watanzania"

mwigulu chemba rudi BOT haraka! umeshindwa kuwadhibiti mchwa wa halmashauri ya Iramba!
 
Kwa staili hiyo na ninavyo wajua magamba, siku zake UDSM zinahesabika. Haya ni maoni yangu
Foundation wala!! Serekali haina Nguvu unayoidhania ...!! Na serekali yenyewe inajua hilo!! Hakika kuna ufa mkubwa sana in energy level ndani ya CCM sasa kuliko wakati mwingine!! Na jinsi ya kuumalizia ni Kuingiza Saikolojia ndani ya sisa ... Ndicho anachofanya Kitila !! Hawatamuweza wala hawatamfanya chochote!!
 
Last edited by a moderator:
Akasaidie kurudishwa wale wanafunzi na wanaoendelea kuata shida kwanza kabla ya kuja mitaani
alinde nyumba yake kwanza
 
kwa kawaida ya magamba ni kama unamwambia mwigulu ongeza bidii ya kuiba mda wako una hesabika.....freedom is coming tommorow....
wataanza kuyaficha mashati yao ya kijani.. na kwa wale ma dr na ma prof wanaotegemea kuteuliwa kuwa board members kwa kupewa upendeleo na ******. mda umefika badilikeni. sasa ni wakti wa wasomi kufunguka na kudai haki zao
inatia aibu kuona wasomi ni watumwa kwa wanasiasa tena wanasiasa wachwara wenye uwezo mdogo wa kufikiri waliongizwa madarakani kwa nguvu ya mafisadi
inasikitisha kuona wasomi tunao waita ma dr na ma prof wanaishi katika viota kama tunavyo viona udsm. hawakustahili kuishi maisha ya chini kiasi hiki huu ni uzalilisha ji wa elimu walioipata kwa taabu.
sasa umefika wakati wa kuamka na kudai haki za wasomi bila kujali kama itikadi za dini wala chama. hakika mafisadi hawataweza kuizidi nguvu ya uma

watashindana weee ila mwishoni watashindwa.... wao wana pesa sisi tuna mungu

people,s power............. freedom is coming tommorow, freedom is coming tommorow
 
Kwa staili hiyo na ninavyo wajua magamba, siku zake UDSM zinahesabika. Haya ni maoni yangu
Mbona tayari washaanza kuwekea vigingi vya hapa na pale? Kwenye school of education, members walimpigia ili awe ndiyo dean wao wa school, wakubwa wakampiga chini na kumpa mwingine. Sasa tunadhani huo unaweza kuwa ni mwanzo tu, mbele ya safari wanaweza fanya makubwa zaidi dhidi ya huyu bwana. Though ninaamini, Kitila ni kichwa makini, sijui atafanya nini kujinasua kutoka kwenye hizi fitina ambazo tayari zimeshaanza.
 
Dr.Kitila Umesema kweli woga umetuzidi sana, ila siku itafika hofu itaondoka. Huyo Mwigulu hana chake, nawahakikishieni hana chake tena. Mimi ni mzaliwa wa kijiji cha Makunda kata ya Kyengege anakozaliwa Mwigulu, wanachi wamesubiri kumpa zawadi yake hapo 2015, hawana hamu naye tena. Ni mtoto mdogo lakini kwa kuwa kakua vibaya hatuna namna nyingine zaidi ya kumnyonga tunakuhitaji kamanda Dr. Kitila ukitaka kujua fika Kyengege, Mugundu, Malugha, Kyalosangi, Misigiri, ukisogea KIomboi ndiyo basi Dr. Jina lako linasemwa hadi maeneo ya Ndurumo na luono nakupa habari za kweli Mwigulu keshapigwa. Nilikuwa Kwa bibi yangu maeneo ya kisana nilishangaa kukuta pamoja na uzee wake yuko well informed CCM si chaguo lake tena.

Tusaidie, je nawe wajua kuwa mwigulu alirudia darasa la saba? kama wajua tumegee kidogo dondoo.
 
kitilya karibu SAUT chuo kinachopigana vita na magamba. karibu jembe tujenge chuo imara kwa manufaa ya watanzania wote.. chuo hiki hakipelekeshwi na nguvu za magamba. walijaribu kulazimisha vyuo vyoote vifungwe kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2010. lakini uongozi makini wa SAUT ukaliona hilo kama njia ya magamba kutaka kuwanyima haki ya kuppiga kura vijana waliojiandikisha kupiga kura katika vituo vilivyopo SAUT/ NYEGEZI hivyo basi uongozi wa SAUT mwanza uligoma kufunga chuo chao na hivyo basi GAMBA, MASHA LIKADONDOKA KWA AIBU KUBWA PWAAAA.

HA HA HA HA FREEDON IS COMING TOMMOROW... FREEDOM IS COMING TOMMOROW
 
Kwa staili hiyo na ninavyo wajua magamba, siku zake UDSM zinahesabika. Haya ni maoni yangu

Uzuri ni kwamba ukiwa na elimu (vyeti) na kichwani zimo
unauzika popote pale.

UDSM kuna ma-lecture vilaza wengi sana.
Ma-lecture wenye uelewa wa wanacho kifundisha ni wachache
mno,waki waondoa UDSM itakuwa taruli la kuzalisha maboya.
 
Kwa staili hiyo na ninavyo wajua magamba, siku zake UDSM zinahesabika. Haya ni maoni yangu

Not easy like that. Uzuri ni kwamba kichwa hiki kimetumia mamilioni ku-recruit UDSM wakisema cha nini vyuo vingine vinasema vitakipata lini. Sehemu pekee wanapoweza kumbana ni pale atakapofikisha umri wa kustaafu hawatamuongezea hata siku moja.

Ila CCM hawana ubavu wa kumpikia zengwe pale UDSM, kibaraka wao Mukandara pia hana uwezo huo provided hajamiss kipindi darasani wala kuvujisha mtihani wake, wala kupiga siasa darasani.
 
Nikimaliza degree yang naingia kwa Jenister.Huyu 2010 hakuapata upinzani mkali wa cdm kwani hakusimamishwa mtu.Jamini mtaniunga mkono.
 
Lakini naomba niwaulizeni inakuaje yeye anaweza kujishughulisha na chama ili hali yeye bado ni mtumishi wa umma?Hapo imekaaje nisaidieni maana nami natamani sana kujumuika ila kwa vile ni mtumishi naogopa sheria zisije zikanibana.
 
Lakini naomba niwaulizeni inakuaje yeye anaweza kujishughulisha na chama ili hali yeye bado ni mtumishi wa umma?Hapo imekaaje nisaidieni maana nami natamani sana kujumuika ila kwa vile ni mtumishi naogopa sheria zisije zikanibana.

Nasikia kuna sheria inakataza mtumishi wa umma kuwa kiongozi wa chama cha siasa, Dk.ni mjumbe wa kamati kuu.Wanasemahairuhusiwi kwa mtumishi wa umma kuwa kwenye ngazi ya maamuzi ya chama cha siasa.

Hii sheria kama ipo na ikatumika wengi watatakiwa kuacha utumishi wa umma. Yule gamba wa pla AICC ni MNEC wa CCM, wapo wengi ni watumishi wa umma lakini ni viongozi wa ccm. Kuna wakati nilisikia hata Mukandara alikuwa MNEC
 
Dr. Kitila kwa muda mfupi niliokufahamu hapa Udsm nimekubali kama ni mmoja kati ya wasomi wachache katika chuo chetu hiki kikubwa ambaye husimamia kile unachokiamini pasipo kukubali kulamba viatu vya watawala, kibaya zaidi unakuta Prof. au Dr. analamba viatu vya mtu ambaye hata digree yake ameipata kwa shida.

Mwl Nyerere alikwisha toa msimamo wa dhima ya mwanazuoni ni kusaidia kutatua matatizo ya wanananchi, utawezaje kutatutua matatizo wakati wasomi wetu wanasifia kila kitu ili wapewe ulaji. Dr Kitila makamanda tupo mbali na kwa elimu yako usihofu na Mungu atakulinda. Wanaojikosha kwa viongozi hawaiamini shule yao.
 
Hata wa kimfukuza hawamuwezi tena kwa elimu yake hakosi kazi tena inayolipa, kwanza nadhani vipo vyuo vinavyotoa maslahi mazuri kuliko hapa mlimani. Dr private institution tunakuheshimu na kukuhitaji pia.

Philemon
M.A. Student - Udsm
 
Kwanza wamemchakachua kuwa Dean wa School of Education, alikuwa ameshinda kura kwa kura nyingi tu. Ni aibu Prof. Kuwa kibaraka wa mwanasiasa. Lini tutakuwa huru? Hivi hamuoni aibu kwa wanazuoni kama Mugo wa Kenya.

Afashali niishi uhamishoni lakini sio kumpigia magoto mwanasiasa. Marehemu hayati prof. Chachage alishawahi kumwambia mwanasiasa mmoja kwamba, Ina mchukua masaa machache sana yeye kutangwaza kuwa rais lakin yeye itamchukuwa miaka mingi kuitwa prof. Ameonesha samani ya kuwa prof.
 
Watu wa Mwanza mnabahati sana, ni mara chache kwa huyu kamanda kupanda jukwaani na kufunguka!
 
Kwa staili hiyo na ninavyo wajua magamba, siku zake UDSM zinahesabika. Haya ni maoni yangu

Zama hizo zimepita, serikali haiwezi kuwaadhibu wanafunzi wa Chuo Kikuu au watanzania kwa ujumla kutokana na matakwa yao kisiasa. Vilevile haiwezekani kufunga milango yote, wakifunga mmoja mwingine unafunguka, hizi sio enzi za Masumbuko Lamwai.

Anachoonge Dr Kitila ni cha kweli na kama wakimfanyia mtimanyongo mlimani basi CCM ndio wanaweza kujichimbia kaburi zaidi.
 
hivi huyu kitila mbona yupo active kwenye politics za chadema lakini serikali ya magamba haijamfnyia kama professor Baregu??
 
Back
Top Bottom