S.N.Jilala
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 540
- 507
DR.Kitila akiwa ameambatana na DR. SLAA,LEMA na wapambanaji wengine wa Taifa hili amenena hivi:Akihutubia maelfu ya wakazi wa Mwanza kwenye uwanja wa SAHARA Dr.Kitila wa UDSM amesema kama mwanasaikolojia anaona kuwa watanzania wengi kwa sasa wako kimwili tu CCM,kimawazo na fikra wamekataa kabisa kuifuata CCM, hivyo basi amewaomba waje sasa na kimwili CHADEMA, kwani CCM si chama cha kuiongoza nchi kwa sasa.Hakina dira na kimejaa wababaishaji tu.