ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,327
Leo nmemsikiliza kamanda mawAzo hapa Shirati hakika kidogo nitoe chozi
ungetoa hata damu kabisa
Leo nmemsikiliza kamanda mawAzo hapa Shirati hakika kidogo nitoe chozi
Akafanye kazi private sheria zetu za kazi haziruhusu kujihusisha na siasa at the sametime ni mtumishi wa umma.
Akafanye kazi private sheria zetu za kazi haziruhusu kujihusisha na siasa at the sametime ni mtumishi wa umma.
CCM hawana rafiki wa kudumu
heeh,yamekuwa hayo tena,yaani ni kweli CCM wanafiki.
Lumumba project watakuja hapa watasema DUCE ni ya chadema
Sio mlimani weee ni DUCE
Akili yako bado finyu sana!
Unafiki gani wakati nimezungumzia sheria ilivyo? Ukitaka kuwa mwanasiasa lazima uache kazi ofisi za umma/mtumishi wa umma. Simple unaweza kuomba likizo isiyo na malipo na ukichoka na siasa unaweza rudia kazi yako.
heeh,yamekuwa hayo tena,yaani ni kweli CCM wanafiki.
Ule mwendo wako kweli we ni mwanaume?
Kama ni kweli basi hizi taratibu zetu zingine ni UPUUZI kabisa.
Mwalimu hata akiwa kiongozi wa chama hakuna madhara kabisa kwa wanafunzi.
Taarifa zinasema kuwa uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam umemvua kwa muda Mhadhiwa Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Kitila Mkumbo madaraka ya kuongoza Kitivo cha Elimu cha Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Dar es Salaam (DUCE).
Hatua hiyo inatajwa kuchukuliwa baada ya uongozi wa UDSM kupata taarifa kwenye vyombo vya habari kuwa Dk Kitila Mkumbo alikuwa kiongozi wa chama cha siasa, CHADEMA wakati angali ni mtumishi wa umma, jambo ambalo Uongozi wa chuo hicho umekariri kuwa ni kinyume cha sheria ya nchi na Serikali kwa mfanyakazi wa umma kushika wadhifa katika chama cha siasa.
Chanzo habari