utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Muogopeni sana, sisi tunamuona nyanya mbichi tu.Inaonekana kabisa kuwa CCM mnamwogopa sana ndio maana mnatoa kauli za mfa maji. Sisi wanachadema tunajua jamaa ni jembe, kama wewe huoni shauri yako