Hii ni moja silaha nzito ya CDM ninayoifahamu
Ingeenda kule EALA ingekuwa njema sana.
Ingeenda kule EALA ingekuwa njema sana.
asingepita huko ccm ni wengi bungeni!
Hii ni moja silaha nzito ya CDM ninayoifahamu
Uligongwa na kwashiakoo utotoni nini mkuu!Huyu aendelee tu kishika chaki!!
Sidhani kama ana quality za kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi!!
Huyu aendelee tu kishika chaki!!
Sidhani kama ana quality za kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi!!
Mkuu angeshuka nondo kama Dr. Kessy angeweza kubadili matokeo. Hivi unadhani CCM woooote hawaipendi CDM? Kuna watu wamo CCM lakini wana mahaba na CDM.
huyu aendelee tu kishika chaki!!
Sidhani kama ana quality za kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi!!
[video=youtube_share;apkdf5szax8]http://youtu.be/apkdf5szax8[/video]
mbunge mtarajiwa wa iramba magharibi kitila mkumbo yupo studio itv saa hii pongezi kwa kuelimisha jamii
Huyu aendelee tu kishika chaki!!
Sidhani kama ana quality za kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi!!