Wanabodi jana dr. KITILA aliitisha mdahalo wa changamoto ya Elimu na rasilimari za nchi.
Na matangazo yalitolewa wiki nzima ktk vyuo vikuu vyote Dodoma, lakn cha kushangaza kulikuwa na watu 46 ukijumlisha na meza kuu walikuwa jumla 53.
Hapa vipi wadau, mzee hana uwezo au watu wamewachoka?
Wanabodi jana dr. KITILA aliitisha mdahalo wa changamoto ya Elimu na rasilimari za nchi.
Na matangazo yalitolewa wiki nzima ktk vyuo vikuu vyote Dodoma, lakn cha kushangaza kulikuwa na watu 46 ukijumlisha na meza kuu walikuwa jumla 53.
Mimi nafikri wewe unamatatizo au hujui maana ya mdahalo, nilifikiri kaumbuka kwa mada na hoja zake kumbe unasema wahudhuriaji hawakujitokeza, ule si mkutano wa hadhara kwamba utaenda kusikiliza na kuondoka, kwenye mdaharo unatakiwa utoe mawazo yako, kwanza hata hao 50 walikuwa wengi sana.Wanabodi jana dr. KITILA aliitisha mdahalo wa changamoto ya Elimu na rasilimari za nchi. Na matangazo yalitolewa wiki nzima ktk vyuo vikuu vyote Dodoma, lakn cha kushangaza kulikuwa na watu 46 ukijumlisha na meza kuu walikuwa jumla 53. Hapa vipi wadau, mzee hana uwezo au watu wamewachoka?
Wanabodi jana dr. KITILA aliitisha mdahalo wa changamoto ya Elimu na rasilimari za nchi.
Na matangazo yalitolewa wiki nzima ktk vyuo vikuu vyote Dodoma, lakn cha kushangaza kulikuwa na watu 46 ukijumlisha na meza kuu walikuwa jumla 53.