Dr kikwete - gorbachev wa tanzania

matawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2010
2,052
242
Jamani kitendo cha huyu Mkwere kukiua CCM kwa kufanya ni chama cha familia, kuwakumbatia mafisadi, kuuza migodi kwa wageni nk ni kitendo cha kuungwa mkono sana maana bila kufanya hivyo
1.Zingetoka wapi ghadhabu za wananchi kukichukia chama?
2.Wamachinga wangepata wapi ujanja wa kupigia kura Chadema?
3. Slaa angepataje nguvu ya kupambana na ccm?
4.Viongozi wa dini wangepata wapi jeuri ya kuikataa ccm hadharani?

Asante Kikwete umeibadilisha Tanzania:israel: kampumzike salama pale Usogi. Tafadhali usiondoke na funguo za ikulu tunataka tuanze kudeki
 
Usisahau pia jina ambalo Watanzania tulimpa la msanii, hili linapendeza sana kuliko la Gorbachev. Usanii kwenye uongozi wa nchi :nono::nono::nono:
 
Mkuu umenikumbusha HISTORY 3 enzi izooooooooooooooooooo.
The fall of USSR under Mikhael Gorbachev,naona yanamnyemelea JK sasa usije kuta amelazwa
 
To early kumuaga mkuu!!! Umemsahau Jaji Mstaafu Makame!!!:doh:
 
Jamani kitendo cha huyu Mkwere kukiua CCM kwa kufanya ni chama cha familia, kuwakumbatia mafisadi, kuuza migodi kwa wageni nk ni kitendo cha kuungwa mkono sana maana bila kufanya hivyo
1.Zingetoka wapi ghadhabu za wananchi kukichukia chama?
2.Wamachinga wangepata wapi ujanja wa kupigia kura Chadema?
3. Slaa angepataje nguvu ya kupambana na ccm?
4.Viongozi wa dini wangepata wapi jeuri ya kuikataa ccm hadharani?

Asante Kikwete umeibadilisha Tanzania:israel: kampumzike salama pale Usogi. Tafadhali usiondoke na funguo za ikulu tunataka tuanze kudeki
CHUKI BINAFSI, TAJA NI MIGODI IPI JK AMEUZA? HALAFU TAJA YA MKAPA. chuki nyingine ni zakijinga sana. sijui kwa sababu ya imani yako, anyway I do not know what excatly is.
 
Jamani kitendo cha huyu Mkwere kukiua CCM kwa kufanya ni chama cha familia, kuwakumbatia mafisadi, kuuza migodi kwa wageni nk ni kitendo cha kuungwa mkono sana maana bila kufanya hivyo
1.Zingetoka wapi ghadhabu za wananchi kukichukia chama?
2.Wamachinga wangepata wapi ujanja wa kupigia kura Chadema?
3. Slaa angepataje nguvu ya kupambana na ccm?
4.Viongozi wa dini wangepata wapi jeuri ya kuikataa ccm hadharani?

Asante Kikwete umeibadilisha Tanzania:israel: kampumzike salama pale Usogi. Tafadhali usiondoke na funguo za ikulu tunataka tuanze kudeki
unafikiri bunge linalokuja ataliweza?? mwe!! TUNDU LISU NDANI HAHAHA HEHEHEH
LET WAIT....NEXT RAIS IS SLAA
 
CHUKI BINAFSI, TAJA NI MIGODI IPI JK AMEUZA? HALAFU TAJA YA MKAPA. chuki nyingine ni zakijinga sana. sijui kwa sababu ya imani yako, anyway I do not know what excatly is.


Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Ahsantee.gif

Thank you for supporting JF! <---(click to support us)
Waliochangia 2010: <--- (click to read)
<A href="https://www.jamiiforums.com/355625-post4.html" rel=nofollow target=_blank>JINSI YA KUCHANGIA JF<---(click to read)
:coffee:
24/7 Email SUPPORT: support@jamiiforums.com
 
kikwete akiishaapishwa tu anaanza safari zako za kila siku na kuhudhuria makitchen party
 
Chama kinachotaka kuuawa kinachukua viti vya ubunge kwa 80% na urais kwa zaidi ya 70%?

Undondo nao una mipaka yake ati! Teh teh teh!!!! :smile-big:
 
kikwete akiishaapishwa tu anaanza safari zako za kila siku na kuhudhuria makitchen party

Kama kawa! Na wewe lipiza kwa safari za Kimara - Moshi kuhudhuria ma-send off party! Teh teh teh!!!!
 
Chama kinachotaka kuuawa kinachukua viti vya ubunge kwa 80% na urais kwa zaidi ya 70%?

Undondo nao una mipaka yake ati! Teh teh teh!!!! :smile-big:

80% Kihalali au kwa kubaka demokrasia. Ukweli msingepata zaidi ya 55% kwenye uchaguzi huru na haki
 
Back
Top Bottom