Jamani kitendo cha huyu Mkwere kukiua CCM kwa kufanya ni chama cha familia, kuwakumbatia mafisadi, kuuza migodi kwa wageni nk ni kitendo cha kuungwa mkono sana maana bila kufanya hivyo
1.Zingetoka wapi ghadhabu za wananchi kukichukia chama?
2.Wamachinga wangepata wapi ujanja wa kupigia kura Chadema?
3. Slaa angepataje nguvu ya kupambana na ccm?
4.Viongozi wa dini wangepata wapi jeuri ya kuikataa ccm hadharani?
Asante Kikwete umeibadilisha Tanzania:israel: kampumzike salama pale Usogi. Tafadhali usiondoke na funguo za ikulu tunataka tuanze kudeki
1.Zingetoka wapi ghadhabu za wananchi kukichukia chama?
2.Wamachinga wangepata wapi ujanja wa kupigia kura Chadema?
3. Slaa angepataje nguvu ya kupambana na ccm?
4.Viongozi wa dini wangepata wapi jeuri ya kuikataa ccm hadharani?
Asante Kikwete umeibadilisha Tanzania:israel: kampumzike salama pale Usogi. Tafadhali usiondoke na funguo za ikulu tunataka tuanze kudeki