NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Wewe unategemea mwanamagamba kama kigwangalla atasema nini? Hizo ndiyo dalili za regime inayokufa. Hata wanachama wake wamefumbwa macho na masikio. Hawaoni wala hawasikii. Ngoja siku ifike watakaposema mimi sikusema.