Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Ikiwa yeye ndio anajua lengo lake "kuwashwawashwa kumeanzia wapi?"Yeye.ndo anajua lengo lake
Ikiwa yeye ndio anajua lengo lake "kuwashwawashwa kumeanzia wapi?"Yeye.ndo anajua lengo lake
Kabisa nimekupata mkuubritanicca, hoja yako hakika ni fikirishi, hongera sana. Lakini, ukumbuke kwamba moja ya malengo makuu ya Serikali iliyoko madarakani ni kshinda vita ya kiuchumi kwa kishindo, iwe jua kali au masika. Vita hiyo inahitaji mbinu wazi na fichi. Na maeneo walikojificha maadui, wa hiyo vita, ni pamoja na maliasili na utalii.
Tusubiri, na inawezekana hoja yako na hiyo tahadhari zikawa kweli.
Isije ikamsaidia kujibomoa badala ya kujijenga midhali "mtandao" haujavunjika