Wameanza kumjibu, kwanini awaambie mawazir peke yao wakati yeye ni mkuu wao
koh... koh
Unafikiri hili dongo karushiwa nani.
View attachment 576351
Nafikiri huko kunachemka, Nape naye katupia.
View attachment 576352
Kama mbwai na iwe mbwai bwana.Wameanza kumnanga bodi wao
Inawezekana ila waangalie asije akawapigia.Naona wanambeep mfalme wao
Haya madongo yanarushwa kwa wale wakolomijeUnafikiri hili dongo karushiwa nani au yule aliyesema "baadhi ya mawaziri ni wapumbavu"?
View attachment 576351
Nafikiri huko kunachemka, Nape naye katupia.
View attachment 576352
Siku yakulipuka nitasherekeaNa bado ngoja warushiane vijembe hilo jumba la lumumba soon litawaka moto
Swissme