Dr. Kigwangalla ashikiliwa lupango

mambali

Senior Member
Oct 16, 2012
172
64
Muda huu mbunge wa Nzega, dr. Kigwa yupo lupango hapa Nzega hii ni kufuatia shinikizo lake la kutaka serikali wilayani Nzega ifungue machimbo ya wachimnaji wadogowadogo eneo la Mwanshina maarufu kama namba saba.

Taarifa kamili itawajia hivi punde.
 
Eleza vizuri wewe...

Lupango ndani, counter, eneo la police au!

mbona unaleta habari za kifemale wewe kama jina lako ukiligeuza geuza lupango ndo lugha sanifu ya kiswahili wenzako waliochanganya na za kwao washaelewa usifikiri kutumia masabuli
 
serikali ya tz hua haipendi mtu apiganie maslahi ya wananch bali ya chama namshauri tu mh ahamie digital chadema maana kwa style hii hapiti tena kwenye kula za maoni ccm
 
Anataka political score si unajua time zimeenda hiz kila mbunge hajui hatima yake so anajaribu kujitete kwa wanainch wamwamin tena
 
Hawakujitupa kwenye mbio za urais... kwanini....?????
1:huko Kishapu kwenye watu shapu yaani hata mbunge wenu hataki urais...hebu atujibu kwa aya zake za biblia
2:Mtera....pamoja na kuwa ni msemaji mzuri ndani ya CCM anayeaminika kufunika hoja zote za upinzani kwa ueledi wa kiwango cha juu na kuchangia hoja nzito kwa kushauri kutoa picha ya nyoka kwenye noti kwani ndio sababu pesa inaanguka thamani,mbunge huyu mpaka sasa hajatangaza nia ya urais.wengi hatujui ni kwa nini wakati urais karibu kila mbunge wa CCM anauweza.
 
dah siasa za tz balaa huyu naye anataka ubunge au urais kwa staili ya mandela sinema na sarakasi za kutosha kabla ya october
 
Back
Top Bottom