ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Kwa kweli Kigwangwallah ni sawa na pweza aliyeingia mtoni...
Sio kila maji yanamfaa kila samaki...
Sio kila maji yanamfaa kila samaki...
Wanakotupeleka siko, tusipostuka mapema basi imekula kwetu!!!!nimejuiliza weeeeeeeeeeeeeeeeee,na jana nilikua na mtu mmoja tukawa tunaulizana ila jibu likawa for thir own benefits
Licha ya kwamba wote wawili ni Magamba lakini ndugu zangu wanyamwezi mnatia aibu sana kwa kukubali siasa zenu za CCM zimilikiwe na huyu Al Shabaab Hussein Bashe, huyu nitaendelea kumchukia kwa sababu yeye ndio source ya kumpoteza mpiganaji Lucas Selii.
Narudia tena Wanyamwezi mnatia aibu.
Namshangaa sana huyu Dr angetakiwa kuwa wodin hv sasa badala yake anaendelea kurumbana na mtu kama bashe kitu ambacho hakitusaidii sisi wakazi wa Nzega hata kidogo,
Hawezi kujiuzulu kama anakubaliana na CCM. Maana itakuwa ni kuzira! Na kujiuzulu kwa kuzira siyo kwa kupewa pongeza. Aamue kuikataa CCM na mipango yake halafu ajiuzulu. Aje kwenye mwanga atashinda!
mkuu mmj nakukatalia kuhusu hk kuja kwenye mwanga ili agombee ubunge.he is very dynamic hatuwezi kukaribisha shibuda 2
MMM, unaonekana humjui viruzi HKHawezi kujiuzulu kama anakubaliana na CCM. Maana itakuwa ni kuzira! Na kujiuzulu kwa kuzira siyo kwa kupewa pongeza. Aamue kuikataa CCM na mipango yake halafu ajiuzulu. Aje kwenye mwanga atashinda!
Nasikia Bashe kamkamata kila mtu huko Nzega, Kigwangallah ningekushauri ujiuzulu, uendelee na ujasiriamali au taaluma yako, vita na Bashe sidhani kama utashinda.