https://www.jamiiforums.com/#
[h=6]Hamisi Kigwangalla
Badala ya kutoa mchango wa mawazo kwenye issues za kukijenga chama chetu ndani ya vikao halali ambavyo wenyewe ni wajumbe, wanatafuta umaarufu kwa kumtukana na kumchafua kijana wa Mwenyekiti wa Chama! Bahati ya kuzaliwa mtoto wa Rais ni devine right ya aliyeipata na wala siyo dhambi...sidhani kama ni sahihi kumshambulia kwa sababu tu amezaliwa na kuwa mtoto wa Rais. Hata kama unamchukia kiasi gani, utamnyang'anya kila kitu lakini siyo haki ya kuwa mtoto wa Rais! Waambieni waache wivu, wafanye kazi.LikeUnlike · · Share · about an hour ago · Shared with: Public
[h=6]Hamisi Kigwangalla
Badala ya kutoa mchango wa mawazo kwenye issues za kukijenga chama chetu ndani ya vikao halali ambavyo wenyewe ni wajumbe, wanatafuta umaarufu kwa kumtukana na kumchafua kijana wa Mwenyekiti wa Chama! Bahati ya kuzaliwa mtoto wa Rais ni devine right ya aliyeipata na wala siyo dhambi...sidhani kama ni sahihi kumshambulia kwa sababu tu amezaliwa na kuwa mtoto wa Rais. Hata kama unamchukia kiasi gani, utamnyang'anya kila kitu lakini siyo haki ya kuwa mtoto wa Rais! Waambieni waache wivu, wafanye kazi.LikeUnlike · · Share · about an hour ago · Shared with: Public