Dr Kigwangalla Amponda Benno, Amtetea Riziwan, Anatafuta Uwaziri?

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
https://www.jamiiforums.com/#

[h=6]Hamisi Kigwangalla
Badala ya kutoa mchango wa mawazo kwenye issues za kukijenga chama chetu ndani ya vikao halali ambavyo wenyewe ni wajumbe, wanatafuta umaarufu kwa kumtukana na kumchafua kijana wa Mwenyekiti wa Chama! Bahati ya kuzaliwa mtoto wa Rais ni devine right ya aliyeipata na wala siyo dhambi...sidhani kama ni sahihi kumshambulia kwa sababu tu amezaliwa na kuwa mtoto wa Rais. Hata kama unamchukia kiasi gani, utamnyang'anya kila kitu lakini siyo haki ya kuwa mtoto wa Rais! Waambieni waache wivu, wafanye kazi.LikeUnlike · · Share · about an hour ago · Shared with: Public
[/h]
 


Hamisi Kigwangalla
Badala ya kutoa mchango wa mawazo kwenye issues za kukijenga chama chetu ndani ya vikao halali ambavyo wenyewe ni wajumbe, wanatafuta umaarufu kwa kumtukana na kumchafua kijana wa Mwenyekiti wa Chama! Bahati ya kuzaliwa mtoto wa Rais ni devine right ya aliyeipata na wala siyo dhambi...sidhani kama ni sahihi kumshambulia kwa sababu tu amezaliwa na kuwa mtoto wa Rais. Hata kama unamchukia kiasi gani, utamnyang'anya kila kitu lakini siyo haki ya kuwa mtoto wa Rais! Waambieni waache wivu, wafanye kazi.LikeUnlike · · Share · about an hour ago · Shared with: Public

anashambuliwa mambo yake ya kujifanya mtoto wa mkuu wa kaya halafu sisi ni vikaragosi..
 


Hamisi Kigwangalla
Badala ya kutoa mchango wa mawazo kwenye issues za kukijenga chama chetu ndani ya vikao halali ambavyo wenyewe ni wajumbe, wanatafuta umaarufu kwa kumtukana na kumchafua kijana wa Mwenyekiti wa Chama! Bahati ya kuzaliwa mtoto wa Rais ni devine right ya aliyeipata na wala siyo dhambi...sidhani kama ni sahihi kumshambulia kwa sababu tu amezaliwa na kuwa mtoto wa Rais. Hata kama unamchukia kiasi gani, utamnyang'anya kila kitu lakini siyo haki ya kuwa mtoto wa Rais! Waambieni waache wivu, wafanye kazi.LikeUnlike · · Share · about an hour ago · Shared with: Public

Hizi nafasi za mikoa mipya zitawatoa roho wanasiasa uchwara.
 
yatimie tu hiri ri merikebu rao rizame iri sisi watanganyika tusio na hatia hatimaye tupate haki zetu tulizokwisha porwa na hawa jamaa.
 


Hamisi Kigwangalla
Badala ya kutoa mchango wa mawazo kwenye issues za kukijenga chama chetu ndani ya vikao halali ambavyo wenyewe ni wajumbe, wanatafuta umaarufu kwa kumtukana na kumchafua kijana wa Mwenyekiti wa Chama! Bahati ya kuzaliwa mtoto wa Rais ni devine right ya aliyeipata na wala siyo dhambi...sidhani kama ni sahihi kumshambulia kwa sababu tu amezaliwa na kuwa mtoto wa Rais. Hata kama unamchukia kiasi gani, utamnyang'anya kila kitu lakini siyo haki ya kuwa mtoto wa Rais! Waambieni waache wivu, wafanye kazi.LikeUnlike · · Share · about an hour ago · Shared with: Public
HK ni fisadi wa elimu tunajua ni mama salma anayekulinda ndio maana anaogopa kutumia akili zake anabaki kushikiliwa
 


Hamisi Kigwangalla
Badala ya kutoa mchango wa mawazo kwenye issues za kukijenga chama chetu ndani ya vikao halali ambavyo wenyewe ni wajumbe, wanatafuta umaarufu kwa kumtukana na kumchafua kijana wa Mwenyekiti wa Chama! Bahati ya kuzaliwa mtoto wa Rais ni devine right ya aliyeipata na wala siyo dhambi...sidhani kama ni sahihi kumshambulia kwa sababu tu amezaliwa na kuwa mtoto wa Rais. Hata kama unamchukia kiasi gani, utamnyang'anya kila kitu lakini siyo haki ya kuwa mtoto wa Rais! Waambieni waache wivu, wafanye kazi.LikeUnlike · · Share · about an hour ago · Shared with: Public

hivi ni kwamba maraisi wote waliopita hawakuwahi kuwa na watoto??? kama watoto wanaostahili kujivunia kazi nzuri ya baba yao ni watoto wa JKN na si wengine....ulishawasikia wakiropokaropoka hovyo??? tena wako humble kwa kila mtu na wanaheshima hata kwa watu wasiowajua
lakini sio huyu bw mdogo, mimi pia namchukia namchukuia namchukia.....
 


Hamisi Kigwangalla
Badala ya kutoa mchango wa mawazo kwenye issues za kukijenga chama chetu ndani ya vikao halali ambavyo wenyewe ni wajumbe, wanatafuta umaarufu kwa kumtukana na kumchafua kijana wa Mwenyekiti wa Chama! Bahati ya kuzaliwa mtoto wa Rais ni devine right ya aliyeipata na wala siyo dhambi...sidhani kama ni sahihi kumshambulia kwa sababu tu amezaliwa na kuwa mtoto wa Rais. Hata kama unamchukia kiasi gani, utamnyang'anya kila kitu lakini siyo haki ya kuwa mtoto wa Rais! Waambieni waache wivu, wafanye kazi.LikeUnlike · · Share · about an hour ago · Shared with: Public
Unarudisha fadhila sio kwa mke wa Rais kukupigania kupata ubunge sio? Hebu jaribu kujiuliza huyo mtoto wa rais katiba inamtambua vp? na inakuwaje anahusika katika maamuzi ya chama? btw naskia ulinunua vyeti
 
Hakuna kitu kibaya duniani kama kubebwa,yaani kupewa nyazifa nk bure bila kutoa jasho,maana utakuwa mtumwa wa aliyekubeba,hata kama akijinyea na wewe ukaona kabisa utakanusha tu ili kulinda ugali, wanatia aibu sana watu wa namna hiyo.
 
Tutegemee nini toka kwa huyu house boy ?
All in all hakuna cha maana toka kwa gamba wala mtoto wa gamba wote kiduku tu!
 
If you argue with a fool,people may not notice the difference.HK is suppose to be ignored...a borer due to unethical issues like certs forgery.
 
Back
Top Bottom