Dr Kigwangalla: Ajali niliyopata imenifundisha kuwa kifo kipo pia ni kweli Mungu yupo na maombi ni muhimu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,855
141,793
Dr Kigwangalla amesema kuwa ajali ya gari aliyopata ni jambo kubwa lakini wamejifunza mengi. Mosi amejifunza kuwa kifo kipo lakini kubwa zaidi ni uwepo wa Mungu wa mbinguni. Kigwa anasema alimuona dereva wake akimkwepa twiga na ghafla gari ikaanza kupaa kama ndege inatake off, ndipo alipomkumbuka Mungu na kuswali dua yake ya mwisho. Zaidi ya hapo hakumbuki kilichoendelea zaidi ya kujikuta yuko hospitali. Tukio lile lilimtisha kiasi cha kumfanya aanze kupanga urithi na jinsi ya kulipa madeni atakayoyaacha hapa duniani, amedisitiza Kigwangala. Amemalizia kwa kusema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri na baada ya mapumziko atarudi ofisini kukamilisha kazi aliyoiacha baada ya kuwa ziarani huko misituni kwa zaidi ya mwezi mmoja na nusu.......Get well soon Dr Kigwangalla!

 
Dr Kigwangalla amesema kuwa ajali ya gari aliyopata ni jambo kubwa lakini wamejifunza mengi. Mosi amejifunza kuwa kifo kipo lakini kubwa zaidi ni uwepo wa Mungu wa mbinguni. Kigwa anasema alimuona dereva wake akimkwepa twiga na ghafla gari ikaanza kupaa kama ndege inatake off, ndipo alipomkumbuka Mungu na kuswali dua yake ya mwisho. Zaidi ya hapo hakumbuki kilichoendelea zaidi ya kujikuta yuko hospitali. Tukio lile lilimtisha kiasi cha kumfanya aanze kupanga urithi na jinsi ya kulipa madeni atakayoyaacha hapa duniani, amedisitiza Kigwangala. Amemalizia kwa kusema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri na baada ya mapumziko atarudi ofisini kukamilisha kazi aliyoiacha baada ya kuwa ziarani huko misituni kwa zaidi ya mwezi mmoja na nusu.......Get well soon Dr Kigwangalla!
Kumbe alikuwa haamini kama kifo kipo na Mungu yupo
 
Dr Kigwangalla amesema kuwa ajali ya gari aliyopata ni jambo kubwa lakini wamejifunza mengi. Mosi amejifunza kuwa kifo kipo lakini kubwa zaidi ni uwepo wa Mungu wa mbinguni. Kigwa anasema alimuona dereva wake akimkwepa twiga na ghafla gari ikaanza kupaa kama ndege inatake off, ndipo alipomkumbuka Mungu na kuswali dua yake ya mwisho. Zaidi ya hapo hakumbuki kilichoendelea zaidi ya kujikuta yuko hospitali. Tukio lile lilimtisha kiasi cha kumfanya aanze kupanga urithi na jinsi ya kulipa madeni atakayoyaacha hapa duniani, amedisitiza Kigwangala. Amemalizia kwa kusema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri na baada ya mapumziko atarudi ofisini kukamilisha kazi aliyoiacha baada ya kuwa ziarani huko misituni kwa zaidi ya mwezi mmoja na nusu.......Get well soon Dr Kigwangalla!
Mhhh kutenguka tuu mkono ndiyo unamkumbuka mungu jee ungepigwa risasi 38 ungesemaje????

@H.Kigwangwalla
 
Dr Kigwangalla amesema kuwa ajali ya gari aliyopata ni jambo kubwa lakini wamejifunza mengi. Mosi amejifunza kuwa kifo kipo lakini kubwa zaidi ni uwepo wa Mungu wa mbinguni. Kigwa anasema alimuona dereva wake akimkwepa twiga na ghafla gari ikaanza kupaa kama ndege inatake off, ndipo alipomkumbuka Mungu na kuswali dua yake ya mwisho. Zaidi ya hapo hakumbuki kilichoendelea zaidi ya kujikuta yuko hospitali. Tukio lile lilimtisha kiasi cha kumfanya aanze kupanga urithi na jinsi ya kulipa madeni atakayoyaacha hapa duniani, amedisitiza Kigwangala. Amemalizia kwa kusema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri na baada ya mapumziko atarudi ofisini kukamilisha kazi aliyoiacha baada ya kuwa ziarani huko misituni kwa zaidi ya mwezi mmoja na nusu.......Get well soon Dr Kigwangalla!
Mhhh kutenguka tuu mkono ndiyo unamkumbuka mungu jee ungepigwa risasi 38 ungesemaje????

@H.Kigwangwalla
 
Aisee,
Huyu ana jiita Daktari tena daktari wa binadamu lkn mpaka ajali imetokea ndo ana amini kuna Kifo. (Elim yake ichunguzwee).

Kupona kwake ndo ana amini Mungu yupo, waliokufa sijui tusemeje.
Huu ni ubinafsi wa kujiona yeye ni muhimu kuliko wenzie mbele za Mungu. Mungu mbaguzi sana huyu.

Hata hivyo, kama hana shida na matatizo na Mungu kwanini afurahie kupona badala ya kufa ili akaishi maisha mazuri yenye furaha huko mbinguni??

Au maisha ya kuzurura huko maporini na kupigwa makofi na magufuli ndio maisha bora kuliko mbinguni??

Daktari wa mashaka huyu, hajui falsafa wala ya darasa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ndio maana wakiambiwa Akwelina amekufa huwa wanahisi ni utani tu na story za magazetini, Lisu kapigwa pipe watu wanadhani ni asikhara tu, hata hivyo anatakiwa ajue kwamba pamoja na kusalimika kwake bado kifo kipo. Tuishi kwa haki, upendo na amani hapa duniani.
 
Aisee,
Huyu ana jiita Daktari tena daktari wa binadamu lkn mpaka ajali imetokea ndo ana amini kuna Kifo. (Elim yake ichunguzwee).

Kupona kwake ndo ana amini Mungu yupo, waliokufa sijui tusemeje.
Huu ni ubinafsi wa kujiona yeye ni muhimu kuliko wenzie mbele za Mungu. Mungu mbaguzi sana huyu.

Hata hivyo, kama hana shida na matatizo na Mungu kwanini afurahie kupona badala ya kufa ili akaishi maisha mazuri yenye furaha huko mbinguni??

Au maisha ya kuzurura huko maporini na kupigwa makofi na magufuli ndio maisha bora kuliko mbinguni??

Daktari wa mashaka huyu, hajui falsafa wala ya darasa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Anajisahau na madaraka ya kulevya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom