Elections 2010 Dr. Kigwangala naye apeta Nzega!

msikonge

Senior Member
Aug 4, 2010
151
8
:thinking::thinking:
Kwa habari zisizokuwa rasmi yule kijana mwenzetu, aliyezushiwa ni Mrundi anazidi kuchanja mbuga kuelekea Bungeni, inaonekana ameendelea kuwaacha wapinzani wake ki-aina!
Jamaa huyu akiingia bungeni na aamue kufanya kazi, hilo Bunge litachangamka sana!
 
:thinking::thinking:
Kwa habari zisizokuwa rasmi yule kijana mwenzetu, aliyezushiwa ni Mrundi anazidi kuchanja mbuga kuelekea Bungeni, inaonekana ameendelea kuwaacha wapinzani wake ki-aina!
Jamaa huyu akiingia bungeni na aamue kufanya kazi, hilo Bunge litachangamka sana!

Yes,

Kama hataathirika na siasa za CCM na makundi ya kifisadi, nadhani Kigwangalla ni kijana anayelifaa Bunge letu. Kwa bahati mbaya mpinzani wake mkuu, Mzee Meza alishindwa kuitumia vizuri fursa aliyopata kwenye mdahalo wa TBC1, alipwaya sana badala ya kuongeza kura alipunguza kura nyingi sana.
 
Napata taarifa tofauti kuhusu Nzega...tusubiri itangazwe rasmi...si kweli kuhusu mgombea wa CCM kuongoza
 
Yes,

Kama hataathirika na siasa za CCM na makundi ya kifisadi, nadhani Kigwangalla ni kijana anayelifaa Bunge letu. Kwa bahati mbaya mpinzani wake mkuu, Mzee Meza alishindwa kuitumia vizuri fursa aliyopata kwenye mdahalo wa TBC1, alipwaya sana badala ya kuongeza kura alipunguza kura nyingi sana.

Ni mwajiriwa wa WAMA ya dadaetu Salma
 
Yes,

Kama hataathirika na siasa za CCM na makundi ya kifisadi, nadhani Kigwangalla ni kijana anayelifaa Bunge letu. Kwa bahati mbaya mpinzani wake mkuu, Mzee Meza alishindwa kuitumia vizuri fursa aliyopata kwenye mdahalo wa TBC1, alipwaya sana badala ya kuongeza kura alipunguza kura nyingi sana.
Yes, nami napenda kuamini hivyo. Akivurunda, itabidi tulifufue suara la uraia wake!:A S angry:
 
:thinking::thinking:
Kwa habari zisizokuwa rasmi yule kijana mwenzetu, aliyezushiwa ni Mrundi anazidi kuchanja mbuga kuelekea Bungeni, inaonekana ameendelea kuwaacha wapinzani wake ki-aina!
Jamaa huyu akiingia bungeni na aamue kufanya kazi, hilo Bunge litachangamka sana!

Tafadhali. sisi wengine ni wazee!!. Heri yake.
 
jamani si kila mgombea wa toka chama tawala ni mbaya,kijana ni mpiganaji,na natumaini atawakilisha vilio vya watanzania wengi na apewe nafasi,kama kashinda nampa hongera zake
 
Back
Top Bottom