msikonge
Senior Member
- Aug 4, 2010
- 151
- 8
:thinking::thinking:
Kwa habari zisizokuwa rasmi yule kijana mwenzetu, aliyezushiwa ni Mrundi anazidi kuchanja mbuga kuelekea Bungeni, inaonekana ameendelea kuwaacha wapinzani wake ki-aina!
Jamaa huyu akiingia bungeni na aamue kufanya kazi, hilo Bunge litachangamka sana!
Kwa habari zisizokuwa rasmi yule kijana mwenzetu, aliyezushiwa ni Mrundi anazidi kuchanja mbuga kuelekea Bungeni, inaonekana ameendelea kuwaacha wapinzani wake ki-aina!
Jamaa huyu akiingia bungeni na aamue kufanya kazi, hilo Bunge litachangamka sana!