kisiringyo
Member
- Feb 9, 2012
- 89
- 31
jana katika habari ya star tv nilimshuhudia kigwangala akisema hatounga mkono bajeti kutokana na kutosimamia masilahi ya wananchi cha kushangaza, kaudhihirishia umma unafiki wake leo bungeni kwa kuunga mkono hoja.
My take: Uongo, unafiki na mbinu mnazotumia nyie ccm kuwa hadaa wananchi ndo kitanzi chenu 2015 kwani karne hii hakuna mjinga!!
My take: Uongo, unafiki na mbinu mnazotumia nyie ccm kuwa hadaa wananchi ndo kitanzi chenu 2015 kwani karne hii hakuna mjinga!!