ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 327
Ndugu zangu kebwe ni mbunge wetu wa mugumu -serengeti.
Kiukweli sijamsikia akisema jambo bungeni dhidi ya wafugaji leo hii.
Kiukweli nimeshuhudia kwa macho angu wasukuma walivo fanyiwa ktk mkoa wa mara na Serengeti.
Ng'ombe walikamatwa na kukaa uwanja wa natta shule ya msingi kwa siku 7 hadi mifugo ikakonda.
Wakulima hawa walitozwa hadi laki 1 kwa mfugo.
Nashangaa sana kuwa kimiya hivi..... nahisi ni muhusika mkuu wa tendo hili na nawasihi wana jimbo wenzangu tumtupe mjinga huyu.
Asante nawasilisha asante.
Kiukweli sijamsikia akisema jambo bungeni dhidi ya wafugaji leo hii.
Kiukweli nimeshuhudia kwa macho angu wasukuma walivo fanyiwa ktk mkoa wa mara na Serengeti.
Ng'ombe walikamatwa na kukaa uwanja wa natta shule ya msingi kwa siku 7 hadi mifugo ikakonda.
Wakulima hawa walitozwa hadi laki 1 kwa mfugo.
Nashangaa sana kuwa kimiya hivi..... nahisi ni muhusika mkuu wa tendo hili na nawasihi wana jimbo wenzangu tumtupe mjinga huyu.
Asante nawasilisha asante.