Kichwa
Senior Member
- Mar 15, 2007
- 118
- 7
Alitimuliwa pamoja na Baregu na kanyimwa haki zote za msingi kama mwajiriwa kama mafao etc. Kweli inasikitisha kwa hali inayoendelea hapo UDSM. Inahisiwa kuwa alishiriki kwenye mgomo wa wanafunzi ule uliopita.
Naililia elimu ya taifa hili kwa vile imechanganywa na siasa.
Naililia elimu ya taifa hili kwa vile imechanganywa na siasa.