Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Kwanza mtambue kwamba Dr Kapten ni mmoja wa madaktari wanaopendwa sana na kuaminiwa na management ya TMJ so hata mkilalamika vipi haitasaidia.
ni kweli anawapanga foleni warembo home kwake kama vile wanavyoingia kumuona Dr. Kwa siku anaweza kula vichwa hata 5/6 .
Kuna manesi wengi tu nasikia anatafuna pale
Na la kuogopwa zaidi ni kwamba tayari tanesco washafanya wiring mwilini so chonde chonde kama mlipita hapo shauri yenu.
Kwa habari zaidi ongeeni na Mlinzi na Dereva wake atawapa mainfo yote maana mengi anaYaona. binafsi hizi habari nilizipata kwingine.
Anatibu kwa kutumia mitishamba pia kutoka Zaire (hii anafanya home kwake). Nasikia hadi dawa za mapenzi, za kiume n.k huwa anatoa na wateja wake waliowahi kupewa dawa hizo wanadai ziliwafaa.
pamoja na hayo ni daktari mzuri sana kwa ushuhuda niliopata kutoka kwa wagonjwa wake.
MTAULIZA NIMEJUAJE: HIZI INFO NIMEPEWA NA MFANYAKAZI WA HAPO TMJ BAADA YA KUUGUZA KWA MIAKA 2 MFULULIZO JAMBO LILILOFANYA NIWE NA UKARIBU NA WAFANYAKAZI WAKIWEMO MANESI NA MADOCTOR WA HAPO.
BY THE WAY BADO NAUGUZA ... HOPEFUL ONE DAY MGONJWA WANGU ATAPONA.
Nilisahau: NASIKIA MAREKANI ANAENDA KILA WIKI (SIJUI MWEZI) KUBADILISHA DAMU ILI KUPUNGUZA WADUDU.
ni kweli anawapanga foleni warembo home kwake kama vile wanavyoingia kumuona Dr. Kwa siku anaweza kula vichwa hata 5/6 .
Kuna manesi wengi tu nasikia anatafuna pale
Na la kuogopwa zaidi ni kwamba tayari tanesco washafanya wiring mwilini so chonde chonde kama mlipita hapo shauri yenu.
Kwa habari zaidi ongeeni na Mlinzi na Dereva wake atawapa mainfo yote maana mengi anaYaona. binafsi hizi habari nilizipata kwingine.
Anatibu kwa kutumia mitishamba pia kutoka Zaire (hii anafanya home kwake). Nasikia hadi dawa za mapenzi, za kiume n.k huwa anatoa na wateja wake waliowahi kupewa dawa hizo wanadai ziliwafaa.
pamoja na hayo ni daktari mzuri sana kwa ushuhuda niliopata kutoka kwa wagonjwa wake.
MTAULIZA NIMEJUAJE: HIZI INFO NIMEPEWA NA MFANYAKAZI WA HAPO TMJ BAADA YA KUUGUZA KWA MIAKA 2 MFULULIZO JAMBO LILILOFANYA NIWE NA UKARIBU NA WAFANYAKAZI WAKIWEMO MANESI NA MADOCTOR WA HAPO.
BY THE WAY BADO NAUGUZA ... HOPEFUL ONE DAY MGONJWA WANGU ATAPONA.
Nilisahau: NASIKIA MAREKANI ANAENDA KILA WIKI (SIJUI MWEZI) KUBADILISHA DAMU ILI KUPUNGUZA WADUDU.