kama wanakubali we kinachokuuma ni nini hasa.
Ukiona katiwa si mgonjwa huyo
ngoja niende apo TMJ nikathibitishe.
Hapana, hata kama wanakubali wenyewe tabia nyingine si za kuungwa
mkono, mtoa mada yuko sahihi sana au mpaka siku mkeo aleweshwe
halafu aff.... ndio mutauona ubaya wa huyo daktari? Na si mmesikia
wakati mwingine ni mabiti wadogo?
huyu ni hatari anaweza hata kuchukua vitoto vya shule kwanini tuendelee
kumuunga mkono? au na sisis ndio mambo yetu?
Mie simlaumu kwani anawabaka?
Kwani anawalazimisha
Wanaomkubali ina maana wamependa wenyewe
Maisha kupanga ni kuchagua
ulishawahi kuugua au kuuguliwa aafu daktari akakuomba mzigo kwamba ukigoma hakutibu au hatibu mgonjwa wako? Tusishabikie mambo ya kipuuzi ambayo yana sheria zake badala ya kuyakomesha.