Hizi fedheha wako radhi kuzipokea ili mradi ugali uiende kwa kinywa!Yule prof. aliyetolewa jalalani naona amepigwa dongo hapo.
Yeah and a national disgraceMmmh,so Kabudi ni mpumbavu?
Bahati mbaya sana mpumbavu hajijui kama ana upumbavu bali anaona ana Akili kwa muda huo...ila baada ya muda anagundua alifanya upumbavu na mbaya zaidi jamii ishaona huo upumbavu na matokeo yake ni fedheha sasa!!
Anaewaponza asitetewe kinafiki na tukiendelee hivi,basi bwana yule atatuse sana!!
Kinachowashinda hawa mabwana ni kujiuzulu na kumuacha mhusika mkuu abebe mzigo wake mwenyewe.
Gharama ya kutetea uongo ni kuonekana mpumbavu, na gharama ya kutetea uovu, ni kuonekana mkatili.
Prof.yule anaonekana mpumbavu kwasababu ya kutetea uongo,na Job(Boss wa Mjengoni) anaokana katili kwasababu ya kutetea uovu na yote hayo chanzo ni mtu mmoja tu(bwana yule).
Kabudi mzee wa majalalaniModerator ... naomba title ya uzi isomeke hivi:
"Dr Khamis Kagasheki: Mwanzoni nilipomsikia Rais akitamka vile nilishituka, lakini baada ya kusikia mahojiano ya BBC na mijadala iliyofuatia, sasa nimeamini"
NALOLMmmh,so Kabudi ni mpumbavu?