masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
Mkuu tulitegemea usitoe sababu za juu juu.Hizi habari za kufungwa kwa kiwanda cha Dangote eti, sababu ya kushindwa kukiendesha kutokana na gharama za uendeshaji kuwa kubwa sio za kweli hata kidogo. Taarifa sahihi na zenye ukweli ni kwamba, kiwanda cha Dangote kipo kwenye matengenezo makubwa ya mitambo yake baada ya kutokea hitilafu za kiufundi. Acheni upotoshaji usiokuwa na tija!
Hicho kiwanda kitakuwa kwenye matengenezo kwa muda gani, miezi sita au?
In the meantime as per ITV bei ya saruji Mtwara inagonga 15,000/~ .
Tupate majibu.