Dr Dalaly Peter Kafumu yuko anahojiwa Star tv sahizi katika kipindi cha "Medani za kisiasa" anasema hayuko tayari kugombea tena ubunge kama rufaa yake itashindwa na kuwa ataendelea kushiriki kuleta maendeleo ya Igunga nje na Ubunge
Naona na mtoto wake Benedict Kafumu nae ameshachaguliwa mwakilishi wa wilaya wa CCM. Amakweli CCM ni BM-VW. Baba, mama, Vimada na watoto.
Dr Dalaly Peter Kafumu yuko anahojiwa Star tv sahizi katika kipindi cha "Medani za kisiasa" anasema hayuko tayari kugombea tena ubunge kama rufaa yake itashindwa na kuwa ataendelea kushiriki kuleta maendeleo ya Igunga nje na Ubunge