Dr. Kafumu awa mwindaji

mku

Member
Mar 27, 2011
88
9
1. Dk kafumu akislaimia. Kushoto ni mkewe Maria Magdalena na kulia ni Nchemba.jpg

Ndugu wanajamvini!

Napenda kumfananinisha Dr. Kafumu na mwindaji aliyeenda kutafuta kitoweo na baada ya kupata kitoweo kalejea nyumbani. Zamani enzi zile za gari la moshi la kuchochea kwa kuni, na zile enzi za mashirika ya usafiri kama ya KIRETCO, AMTCO nakadharika kijana au baba mwenye mji ulikuwa ukitoka nyumbani asubuhi na mbwa wako kama sio kumi basi kumi na tano na mishale mikali yenye sumu kwenda kuwinda. Siku ikiwa njema na ukaja na swala nyumbani au kama sio pofu basi watu walikuwa wanasimama njiani wanakushangilia kama mwindaji hodari na wanakupa sifa kedekede. Sherehe ilikuwa inafanyika nyumbai kwako maana ndo hapo utakapolia nyama yako na nyama inaakuwa vizuri kama mnakula na watu wa nyumbani ukiwa unasimulia jinsi ilivyokuwa. Ni jambo liliwazi kuwa wana Igunga wamelamba dume maana kitendo cha CCM kumfanyia sherehe ya kumkaribisha na kumpongeza Kafumu dar ni kiashiria kuwa alienda kuwinda kura na kazipata na kaja kulia nyumbai kwake na ndugu na jamaa. Alienda kuwinda porini(Igunga) na karudi na nyama(Ubunge) kwenye bega nyumbani(Dar)..

Hakuna mantiki ya kufanya sherehe na kutumia pesa mingi dar na huku wananchi waliokupa kura leo pale choma chankore hawana maji na wanalia na shida zao....Ila mwishowe huwa nawaza kuwa ngoja wakome maana hawataki kubadirika ila huwa siamini hili maana najua huwa wanalazimisha kwa njia moja au nyingine......Nawasilisha

 
View attachment 38681

Ndugu wanajamvini!

Napenda kumfananinisha Dr. Kafumu na mwindaji aliyeenda kutafuta kitoweo na baada ya kupata kitoweo kalejea nyumbani. Zamani enzi zile za gari la moshi la kuchochea kwa kuni, na zile enzi za mashirika ya usafiri kama ya KIRETCO, AMTCO nakadharika kijana au baba mwenye mji ulikuwa ukitoka nyumbani asubuhi na mbwa wako kama sio kumi basi kumi na tano na mishale mikali yenye sumu kwenda kuwinda. Siku ikiwa njema na ukaja na swala nyumbani au kama sio pofu basi watu walikuwa wanasimama njiani wanakushangilia kama mwindaji hodari na wanakupa sifa kedekede. Sherehe ilikuwa inafanyika nyumbai kwako maana ndo hapo utakapolia nyama yako na nyama inaakuwa vizuri kama mnakula na watu wa nyumbani ukiwa unasimulia jinsi ilivyokuwa. Ni jambo liliwazi kuwa wana Igunga wamelamba dume maana kitendo cha CCM kumfanyia sherehe ya kumkaribisha na kumpongeza Kafumu dar ni kiashiria kuwa alienda kuwinda kura na kazipata na kaja kulia nyumbai kwake na ndugu na jamaa. Alienda kuwinda porini(Igunga) na karudi na nyama(Ubunge) kwenye bega nyumbani(Dar)..

Hakuna mantiki ya kufanya sherehe na kutumia pesa mingi dar na huku wananchi waliokupa kura leo pale choma chankore hawana maji na wanalia na shida zao....Ila mwishowe huwa nawaza kuwa ngoja wakome maana hawataki kubadirika ila huwa siamini hili maana najua huwa wanalazimisha kwa njia moja au nyingine......Nawasilisha



Mkuu usiwaukumu wanaigunga ccm wenyewe wamesema hawakusitaili kushinda wamepenya kwenye tundu la shindano mazingila ya ushindi umeona wamebaka ushindi hujumarukuki zimefanyika kufanikisha ushindi wanaigunga tuwape moyo tupo pamoja kazi muliyoifanya nikubwa hongela wanaigunga
 
tusiwalaumu wana Igunga jamani wao wamepigana na wameonyesha nia safi ya kutaka kuondokana na CCM lakini CCM wametumia kila wanalojua ili waendelee kubaki madarakani...
Ngoja tuone hayo maendeleo yatakayoletwa na huyu Kafumu maana hizo pesa zilizotumika nio sawa na Posho ya Chama kwa miezi mitano. Sasa zitarudi vp???
 
Tatizo la Igunga linayakabili maeneo mengi ya Tanzania, hasa vijijin.
 
WanaIgunga hawana namna ya kukwepa lawama hizi kwana wanaijua fika CCM tabia zake na kama wangekuwa hawawataki kweli ccm kwa namna yoyote ile wasinge ruhusu ccm kushinda mosi kwakuinyima kabisa kura lakini pili kudhibiti kabisa uchakachuaji matokeo na mwisho kuondoa kabisa amani kwa watakaotangaza matokeo ambayo wao hawakuyachagua yote haya uwezo walikuwa nao mimi kila siku huwa nasema kiongozi anaongoza kulingana na aina ya watu walivyo na wanavyotaka kuongozwa,hivi ndivyo watanzania wanavyotaka kuongozwa.
 
Wanajua kuwa wanaigunga bado wanamachungu kwahiyo hiyo sherehe isingefana kama ingefanyikia Igunga.
 
Mi sioni cha kuwashukuru wana igunga mana wamerudia tena kula matapishi kwa kuirudisha magamba madarakani igunga wametuongezea msumari wa maumivu tunayoendelea kupata watanzania kwa sababu tu ya kuwacha magamba waendelee kutuburuza. Mi najiuliza watz tutabadilika lini?? hii kulalamika haitoshi tufanyemabadiliko ya kweli tuache unafiki
 
View attachment 38681

Ndugu wanajamvini!

Napenda kumfananinisha Dr. Kafumu na mwindaji aliyeenda kutafuta kitoweo na baada ya kupata kitoweo kalejea nyumbani. Zamani enzi zile za gari la moshi la kuchochea kwa kuni, na zile enzi za mashirika ya usafiri kama ya KIRETCO, AMTCO nakadharika kijana au baba mwenye mji ulikuwa ukitoka nyumbani asubuhi na mbwa wako kama sio kumi basi kumi na tano na mishale mikali yenye sumu kwenda kuwinda. Siku ikiwa njema na ukaja na swala nyumbani au kama sio pofu basi watu walikuwa wanasimama njiani wanakushangilia kama mwindaji hodari na wanakupa sifa kedekede. Sherehe ilikuwa inafanyika nyumbai kwako maana ndo hapo utakapolia nyama yako na nyama inaakuwa vizuri kama mnakula na watu wa nyumbani ukiwa unasimulia jinsi ilivyokuwa. Ni jambo liliwazi kuwa wana Igunga wamelamba dume maana kitendo cha CCM kumfanyia sherehe ya kumkaribisha na kumpongeza Kafumu dar ni kiashiria kuwa alienda kuwinda kura na kazipata na kaja kulia nyumbai kwake na ndugu na jamaa. Alienda kuwinda porini(Igunga) na karudi na nyama(Ubunge) kwenye bega nyumbani(Dar)..

Hakuna mantiki ya kufanya sherehe na kutumia pesa mingi dar na huku wananchi waliokupa kura leo pale choma chankore hawana maji na wanalia na shida zao....Ila mwishowe huwa nawaza kuwa ngoja wakome maana hawataki kubadirika ila huwa siamini hili maana najua huwa wanalazimisha kwa njia moja au nyingine......Nawasilisha


Msiwalaumu wana Igunga Wamefanya kazi kubwa, Msiwalaumu watanzania! Wazambia hawana CCM NEC, CCM Police, CCM Usalama wa Taifa. Jamani tusitoke kwenye fikra sahihi. Unajua hawa mafisadi ccm wanatubana mpaka they suffocate our thinking ability its like what bob sang "They made the world so hard everyday we got to keep on fighting" x1 "They made the world so hard everyday the people are dying" Unajua wamayafanya mambo magumu mpaka bunge likafiri kuwa hatuwezi kuwa na umeme wa maji tena yote haya ni kibano cha mafisadi ccm. Jamani let us not swing but remain firm over the facts!!! its not the Igunga people nor Tanzania but CCM NEC, CCM Police, CCM Usalama wa Taifa, ccm TAKUKURU..............but never give up! we keep on fighting and we ll win the devil philosophy!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom