Mundungus Fletcher
JF-Expert Member
- Jun 7, 2009
- 327
- 79
Hapa sijaelewa point yako uki link na stori ya huyu dogo
Embu clarify ili nielewe niweze kukujibu, hujaelewa nini hapo exactly???
Hapa sijaelewa point yako uki link na stori ya huyu dogo
We uunge mkono hoja usiunge poa tu! cha msingi msg sent! we unadhani huu mfumo wa elimu uliopo unamuandaa mtoto kujipanga kimaisha!? hakuna kitu zaidi ni mambo ya kimawazo zaidi kuliko vitendo,yeye amepeleka ujumbe hata kama haukutakiwa kuwa pale wakati ule bali umefika.