Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,262
- 831
Dr Tiboroha, ndiye hasa alitakiwa awe mwenyekiti wa Yanga.
Kipindi akiwa katibu mkuu, aliifanya Yanga kuwa timu tishio sana Tanzania.
Angalia scout ya Wachezeji kama Ngoma, Kamsoko, Twite. Ni watu ambao walikuja Yanga wakiwa wanafahamu kazi yao ni kufanya nini.
Yanga ya Msola na Dj Mwakalebela, inapesa za GSM lakin wanaosajiliwa kwa kweli hata sijui wanakuja kufanya nini? Angalia usajili wa Sapong, Fiston, Yakuba. Ambao ni straika hakuna wanacho fanya, tuwape mda ndo umekuwa wimbo.
Fiston ni bora wangelivunja mkataba wa Yusuph Mhilu wa Kagera Sugar ama kumlejesha Molinga. Sasa naona hata katikati wanakata viuno tu, Feitoto timu ikiwa imezidiwa hawezi kupushi. Naona pengo la Juma Abdul kupandisha mashambulizi.
Beki nayo imesahau kuweka marking ya ukabaji wanarundikana eneo moja yaani wanafuata mpira wote. Uongozi wa Yondani pengo lake limeonekana. Yanga tusitafute mchawi eti tunahujumiwa how?
Au marefa wanatuminya siyo kweli, maana tengeneza nafasi nyingi then funga ilikusudi maholi ya kataliwe tione. Scout ya Yanga haipo kabisa, viongozi hakuna wanachofanya wanawaza kula pesa ya GSM.
Usajili wa bado sana, sasa kuna hatari tena ya kutema timu karibu nusu. Kupisha usajili wa magumashi.
Kipindi akiwa katibu mkuu, aliifanya Yanga kuwa timu tishio sana Tanzania.
Angalia scout ya Wachezeji kama Ngoma, Kamsoko, Twite. Ni watu ambao walikuja Yanga wakiwa wanafahamu kazi yao ni kufanya nini.
Yanga ya Msola na Dj Mwakalebela, inapesa za GSM lakin wanaosajiliwa kwa kweli hata sijui wanakuja kufanya nini? Angalia usajili wa Sapong, Fiston, Yakuba. Ambao ni straika hakuna wanacho fanya, tuwape mda ndo umekuwa wimbo.
Fiston ni bora wangelivunja mkataba wa Yusuph Mhilu wa Kagera Sugar ama kumlejesha Molinga. Sasa naona hata katikati wanakata viuno tu, Feitoto timu ikiwa imezidiwa hawezi kupushi. Naona pengo la Juma Abdul kupandisha mashambulizi.
Beki nayo imesahau kuweka marking ya ukabaji wanarundikana eneo moja yaani wanafuata mpira wote. Uongozi wa Yondani pengo lake limeonekana. Yanga tusitafute mchawi eti tunahujumiwa how?
Au marefa wanatuminya siyo kweli, maana tengeneza nafasi nyingi then funga ilikusudi maholi ya kataliwe tione. Scout ya Yanga haipo kabisa, viongozi hakuna wanachofanya wanawaza kula pesa ya GSM.
Usajili wa bado sana, sasa kuna hatari tena ya kutema timu karibu nusu. Kupisha usajili wa magumashi.