Mahebe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 319
- 63
Wana JF habari za uhakikia nilizozipata hivi punde ni kuwa Waziri wa Ujenzi kutoka Tanzania Mh Dr.John Magufuli na Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai wamekaribishwa na Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga
kuhudhulia uzinduzi wa Kampeni uchaguzi mkuu wa Kenya utakaofanyika mwanzoni mwa mwaka 2013.Uzinduzi huo unaitwa " 2nd National Delegates Convention" 7th December 2012.
Ila kikubwa zaidi inasemekana Raila Odinga kawaalika hawa wawili tu ( Dr. Magufuli na Tsvangirai) na jana jioni walikaribishwa nyumbani kwa Odinga na kufanyiwa bonge la pati/mnuso wa kufa mtu.
Ili kijiridhisha na taarifa hii nimeweza kupata nakala ya mualiko wa Dr. John Magufuli. Nakala ya barua ya mwaliko na ajenda za uzinduzi zimeambatanishwa.
Mtizamo wangu ni kuwa Dr. Magufuli anakubalika hata nchi jirani ya Kenya ambapo rafiki yake mkubwa kisiasa Raila Odinga ktk kura za maoni anaongoza na huenda akashinda uchanguzi mkuu wa Kenya na ikampa nguvu Dr. Magufuli na mbio za uchaguzi mkuu ujao wa TZ.
Wana JF naomba kuwakilisha
NB: Nitatoa taarifa zaidi kadri nitakavyozipata!
kuhudhulia uzinduzi wa Kampeni uchaguzi mkuu wa Kenya utakaofanyika mwanzoni mwa mwaka 2013.Uzinduzi huo unaitwa " 2nd National Delegates Convention" 7th December 2012.
Ila kikubwa zaidi inasemekana Raila Odinga kawaalika hawa wawili tu ( Dr. Magufuli na Tsvangirai) na jana jioni walikaribishwa nyumbani kwa Odinga na kufanyiwa bonge la pati/mnuso wa kufa mtu.
Ili kijiridhisha na taarifa hii nimeweza kupata nakala ya mualiko wa Dr. John Magufuli. Nakala ya barua ya mwaliko na ajenda za uzinduzi zimeambatanishwa.
Mtizamo wangu ni kuwa Dr. Magufuli anakubalika hata nchi jirani ya Kenya ambapo rafiki yake mkubwa kisiasa Raila Odinga ktk kura za maoni anaongoza na huenda akashinda uchanguzi mkuu wa Kenya na ikampa nguvu Dr. Magufuli na mbio za uchaguzi mkuu ujao wa TZ.
Wana JF naomba kuwakilisha
NB: Nitatoa taarifa zaidi kadri nitakavyozipata!