Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

Baba Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo, watanzania kwa unyenyekevu mkubwa tunakuomba umwangushie angamizo zito huyu mwanamitandao Mwamba Usemao Kweli adahabu na laana kali itakayokuwa fundusho kwa wanafiki wote wanaowasingizia watumishi wa MUNGU T B Joshua kwamba ametoa kauri kuhusu uchaguzi wa Tanzania. Tunaomba haya yote kupitia jina lako tukufu lipitalo majina yote!! Amen
Mungu hata walaani watu kwasababu ya maombi yako yalio jaa chuki kubwa kubwa. Hivi mnafikiri Mungu yeye yupo bize na Fisadi wenu Lowassa? Subiri atakapo chinjwa Jumapili ndio mtafahamu kuwa, MAPENZI YA MUNGU YAPO KWA MAGUFULI.
 
Huu ni unabiii unaotimia: -

Akizungumza na wasaidizi wake jana jioni nyumbani kwake Lagos Nigeria, Nabii T. B. Joshwa anasema

"Naiona nchi ya africa mashariki ikipata rais mpya kutoka ndani yha chama kikongwe barani afrika mwaka huu 2015. Lakini atakuwa ni rais atakayekuja kupendwa na watu wa nchi yake, mwenye uwezo mkubwa wa kiutawala na atakaebadilisha maisha ya watu wake".

Kutoka kwa mtu wa karibu na SCON Lagos Nigeria.

My take : UKAWA tulieni mnyolewe.

Kwa nini mnampa sifa asizostahili huyu tapeli wa kinaigeria? Hata Magufulu akipata huo urais haina uhusiana wowote na hicho uhachoita utabiri hata kama ingekuwa ni kweli kasema hayo. Kwa sababu sasa naona kama njia ya kumkampenia mtu wanaomtaka watu wanaingiza masuala ya utabiri feki kama wa huyu Joshua.
 
Mungu hata walaani watu kwasababu ya maombi yako yalio jaa chuki kubwa kubwa. Hivi mnafikiri Mungu yeye yupo bize na Fisadi wenu Lowassa? Subiri atakapo chinjwa Jumapili ndio mtafahamu kuwa, MAPENZI YA MUNGU YAPO KWA MAGUFULI.

Ndugu yangu Mkamba Mmasai, hii ni JF bwana, ukishupatilia kila kitu kwa nguvu zako zote utajiumiza mwenyewe. Huyo Magufuli wewe hakujui wala mimi hanijui. Huyo Lowassa wewe hakujui wala mimi hanijui. Kuna maisha baada ya uchaguzi, hata hivyo kwa kuwa umenichokoza, nakuombea: Baba Muumba, hiyo laana mteremushie na huyu Mkamba Mmasai
 
Huu ni unabiii unaotimia: -

Akizungumza na wasaidizi wake jana jioni nyumbani kwake Lagos Nigeria, Nabii T. B. Joshwa anasema

"Naiona nchi ya africa mashariki ikipata rais mpya kutoka ndani yha chama kikongwe barani afrika mwaka huu 2015. Lakini atakuwa ni rais atakayekuja kupendwa na watu wa nchi yake, mwenye uwezo mkubwa wa kiutawala na atakaebadilisha maisha ya watu wake".

Kutoka kwa mtu wa karibu na SCON Lagos Nigeria.

My take : UKAWA tulieni mnyolewe.

Kama ni kweli katabili , mpelekee ujumbe huu utamfaa zaidi, ajue kwamba sisi kama wakristo hatusikii maneno ya nabii yeyote tuka amini ispokuwa lazima tupime unabii huo na Neno la Mungu. 1JOHN 4:1-3

'' My dear friends, do not believe all who claim to have the Spirit, but test them to find out if the spirit they have comes from God.For many false prophets have gone out everywhere. 2 This is how you will be able to know whether it is God's Spirit..........."

2.Injili aliyo ihubiri mtume Paulo, mpaka ilifikia hatua akawaambia wagalatia kwamba hata mkiambiwa na Malaika kutoka mbinguni, ujumbe wake ukiwa tofauti na neno la Mungu msikubali na huyo malaika na alaaniwe kwenda kuzimu. Paulo kwa uwezo wa Mungu, alijua kuwa Tanzania, mwaka 2015 watainuka manabii wengi kuupotosha uma.

GALATIANS 1:8 " But even if we or an angel from heaven should preach to you a gospel that is different from the one we preached to you, may be condemned to hell!"
 
Hizi no sifa za anaefaa kuwa Raisi wa awamu ya Yano:
1. Asiwe na historia ya ufisadi
2. Mwenye historia iliyotukuka kwenye uajibikaji alipokuwa mtumishi serikalini
3. Asiwe na chembe ya ubaguzi kwa watanzania. Kidini, kiukanda, ukabila
4. Anayemtanguliza Mingus
5. Mtu imara physically and mentally fit
6. Ability to express himself
7. Mwenye uwezo wa kusimamia utekelezaji wa maagizo yake
8. Asiye na dalili za uchu wa madaraka
9. Anayeumizwa kwa dhati na shida za watanzania
10. Anayechukizwa na ufisadi
11. Mchapa kazi na asiwe ameingia kwenye kinyanganyilo kwa kutest zali
 
12063357_10203851939897205_2154781033594332324_n.jpg
 
Ili kuleta maendeleo na amani lazima kuwepo na umoja,na ili kuleta maendeleo lazma awepo mtu mchapakazi,mwadilifu na asiyekuwa mwoga.
ili kuleta umoja na amani lazma awepo mtu asiyefungamana na upande wowote,mtu asiyekuwa na makundi nyuma yake...

Mtu asiyekuwa na roho ya kulipiza visasi na kupendelea kikundi fulani cha watu..

Mtu asiye na element yeyote ya ukabila...

Dr.magufuli hana kundi lolote nyuma,hatumii fedha katka kusaka uongozi kama jinsi wafanyavyo wengne..
Hana uchu wa madaraka,Ana political torelance,

Dr. Magufuli katka kila wizara aliyoiongoza performance yake imekuwa kubwa maradufu..

Kama jinsi waswahili wanavyosema"kila anayetenda mema hulipwa kwa wema"Mungu ameona utendaji na roho ya kujitolea ya Magufuli dhidi ya taifa hili..

Ameona anafaa kabsa kuwaletea Watanzania maendeleo kupitia uchapakazi wake,Mungu ameamua kumlipa kwa wema Dr.magufuli amempa nafasi muhimu na ya kipekee kabsa ya wakuwaongoza watanzania,no one knew that magufuli will become.

The president..its GOD..LET US ALL STAND TOGETHER AND SUPPORT THIS GOOD WISH FROM OUR ALMIGHTY ALLAH..!!REGARDLESS OF OUR IDEOLOGIES & PARTIES..

DR. MAGUFULI THE BEST CHOICE OF TANZANIANS.
Mkuu popote ulipo rudia tena kusoma uzi wako
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom