isambe
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 2,195
- 1,400
Nyie mnaongea huku chini lakini wale match makers wanaombea lowassa achukue lakini sio huyu , kitu nilichoona anafaa ni kuwa sio mwanasiasa na nina imani hata huo uenyekiti wao hatautaka , pia kile kitendo cha mabosi wake FaizaFoxy kuanza kuhara pia kimenipa faraja kwake .
Last edited by a moderator: