Pale mizani vipi zile rushwa ziliisha? hapa kazi tu kwani ni nani anapewa ajira kuchapa usingizi? simple minded people!HAKUNA MGOMBEA BORA ANAEMZIDI MAGUFULI KWA KILA KITU:
Tanzania mwaka huu tunawagombea 8 wa nafasi ya urais lakini katika hao 8 anayefaa kupeperusha bendera ni Magufuli pekee huyu ameonyesha uwezo mkubwa wa kiutendaji akiwa Serikalini kwa wizara tofauti hao wengine wamefanya nini?
HAPA KAZI TU
Hapa Kazi Tu. porojo peleka UKAWA
Magufuli hafai kuwa raisi
Huoni hoja zao (wapinzani) kwa sasa wanadai ni mfumo na siyo utendaji wa Magufuli.
Nilimsikia Sumaye akisema eti anamkaribisha UKAWA, mbaya zaidi anasema yeye hana tatizo na Magufuli.
Kula LIKES, ila subiri povu na udenda toka kwa wadau fulani.