Haha..Hiyo ndio democrasia ya wajamaa..wajamaa siku zote ni mashetani na utawala wa shetani..Hakuna kitu wasichoa abuse,wana democrasia ya chama kimoja,wana democrasia km iliyomchagua Pombe, wana democrasia km ya polisi na wanayofanyia vyama vingine.Tunaambiwa Ameokota Embe kwenye Mwarubaini. Ndio, ni Huzuni Kwa aliyekuwa Ameandaliwa Kuangukia Pua, pamoja na Mbereko ya Uhakika.Ndani ya CCM Haijawahi Kutokea Haki Kutendeka bali SikuZote Wahanga wa Yanayofanyika Wanakuwaga Wapole Kwa Kuogopa Kufanyiwa Umafya iwapo wataweka Wazi: Mzee Kingunge, Nchimbi,Sofia na Kimbisa Wameamua Kumfunga Paka Kengele Watanzania Wajue Kinachohitwa "Demokrasi" ndani ya CCM.CCM Ina Wenyewe na Wenyewe ndio hao.Poleni Wahanga bado Mnaweza Kutimiza Ndoto zenu Kama tuivyoona Kenya.
Haha..Hiyo ndio democrasia ya wajamaa..wajamaa siku zote ni mashetani na utawala wa shetani..Hakuna kitu wasichoa abuse,wana democrasia ya chama kimoja,wana democrasia km iliyomchagua Pombe, wana democrasia km ya polisi na wanayofanyia vyama vingine.
Oh yes kwa vile wewe siku hizi umeacha kujihusisha na issue za jirani yako..Ok..inakuweje km jirani yako anavusha matatizo yake kwako?Mkuu mbona kama unaguswa sana na mambo ya jiraniyako? Sisi huku tumefanya maamuzi sahihi kwa kukata mafisadi...mmebaki nyie kufanya maamuzi magumu ya kula matapishiyenu kwa kuwabeba mafisadi juujuu...magamba yote yanaelekea CHADEMA..Chukueni hayo makapi
Nadhani huo mdadi wake ukishuka anaweza angalia issue kwa uhasilia wake tunaweza ona mchoni pake akiona anguko lake.magufuli anaweza angukia pua ccm wasiamini kabisa au anaweza kuwekwa kwenye historia kwa kushinda kwa ushindi mwembamba sana
Yako wapi..Mkuu mbona kama unaguswa sana na mambo ya jiraniyako? Sisi huku tumefanya maamuzi sahihi kwa kukata mafisadi...mmebaki nyie kufanya maamuzi magumu ya kula matapishiyenu kwa kuwabeba mafisadi juujuu...magamba yote yanaelekea CHADEMA..Chukueni hayo makapi
Ajaribu watafuta wengine mapema in person....ila haja majigambo na vijembe na huyo mama wake wataishia piga mipasho km kawaida ya maccm.Magufuli ni chaguo la Mungu.
Msukuma alianza lini kuwa mwenyekiti wa CCM shinyanga? Nadhani ulimaanisha mkoa wa Geita!Natamani kusikia kauli ya MWENYEKITI wa CCM mkoa wa shinyanga Musukuma
Msukuma sio mwenyekiti wa ccm shinyanga bali GEITA.
Pascal Ndege